Wanaume wanao baka wake zao/wapenzi wao

Wanaume wanao baka wake zao/wapenzi wao

Somoe

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2010
Posts
754
Reaction score
282
Kwanza) kuliko yote nawapa pole wanawake wanaofanywa mapenzi kwa nguvu, ama kavu kavu, hadi anaumia, pole. Wanawake wengi wanakimbia waume zao, sababu mume anamuingilia mke kama kuku. Wanaume mnao subiri mke alale au alewe pombe ndio amuingilie, muna ugonjwa kichwani. Hii tabia inaweza kuvuma mtaa mzima.

Hadi mama yako na dada yako wanaweza kujua tabia yako, ila hawawezi kukuambia. Fikiria mkeo atamuambia dada yake, dada yake atamuambia dada yako, dada yako atamuambia mama yako. Mama yako watu watamsikia akisema, unambaka mtoto wa watu.

Jifunzeni kufanya mapenzi, msiwe kama kuku. Una kamata na kutia, tabia mbaya hiyo.
 
Kwanza) kuliko yote nawapa pole wanawake wanaofanywa mapenzi kwa nguvu, ama kavu kavu, hadi anaumia, pole.

Wanawake wengi wanakimbia waume zao, sababu mume anamuingilia mke kama kuku.
Wanaume mnao subiri mke alale au alewe pombe ndio amuingilie, muna ugonjwa kichwani.

Hii tabia inaweza kuvuma mtaa mzima. Hadi mama yako na dada yako wanaweza kujua tabia yako, ila hawawezi kukuambia. Fikiria mkeo atamuambia dada yake, dada yake atamuambia dada yako, dada yako atamuambia mama yako.
Mama yako watu watamsikia akisema, unambaka mtoto wa watu.

Jifunzeni kufanya mapenzi, msiwe kama kuku.
Una kamata na kutia, mmmmmmm tabia mbaya hiyo.
Funguka tu yaliyokukuta Mkuu usione soo
 
Mimi kinachonishangaza ni Msichana ananiambia yeye mwenyewe kuwa baby weekend hii nakuja halafu ile unaanza kumvua nguo anakataa anashikilia Chupi na Kusema eti "unataka kufanya nini" hasira huwa inapanda sana mashine inataka kutoboa boxer mi nakubaka tuu baby!
 
Mimi kinachonishangaza ni Msichana ananiambia yeye mwenyewe kuwa baby weekend hii nakuja halafu ile unaanza kumvua nguo anakataa anashikilia Chupi na Kusema eti "unataka kufanya nini" hasira huwa inapanda sana mashine inataka kutoboa boxer mi nakubaka tuu baby!
Sio lazima tuduu,tunaweza kwenda home na tuchil tu.
 
Nawe tangu uchumba ulikuwa unajua sasa mpaka unakubal kuolewa nae? Ndo nyie anakupiga na kukupakua tgo but unakubal kuolewa nae
 
Back
Top Bottom