Natafuta Ajira
JF-Expert Member
- Mar 25, 2020
- 12,130
- 33,517
Ingawa uzi ni mrefu nimejitahidi kuusoma mpaka mwisho. Mtoa mada kaeleza ukweli, kwa sasa mahusiano na ndoa imekua loability kwa mwanaume.Boss Natafuta Ajira Iwe jua iwe mvua huu Uzi upitie
Mwanamke anataka nafasi ya mwanaume lakini hautaki wajibu wa mwanaume ambao unamfanya apewe iyo nafasi.
Mwanamke anataka privilege ya mwanamke lakini ataki wajibu wa mwanamke unaomfanya apewe iyo privilege.
Suluhisho lililobaki ni sisi wanaume kujipa kipaumbele wenyewe tu.