wanaume wana mapenzi ya kweli ,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,

wanaume wana mapenzi ya kweli ,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,

watalamu wanasema ''anayependa kidogo ndio anacontrol mahusiano na anayependa sana ndio anateseka zaidi'' nadhani ishu hapa ni kuwa anyependa sana huwa anajitahidi kuonesha upendo wake kwa huyo mpenda kidogo, t

kadiri mmoja anavyojitahidi kuongeza upendo, mwenzake anaanza kubweteka na upendo wake unaanza kudorora/kupungua kwa kuchukulia huyu kwangu kafika anaanza pia kupuuzia baadhi ya vitu muhimu, na hii nadhani kutokea pasipo kuamua ''kwa wale wanauchumi watakumbuka ishu ya scarcity kuwa 'kadiri kitu kinavyoadimika ndivyo uhitaji wake unaongezeka na kinyume chake pia ni sahihi''

nakubaliana nawe asilimia zote!
 
Thread nzuri..,
Mapenz hayawezi kumwacha shoga yake WIVU....!
 
Yote kheri..., ila muhimu ktk mapenzi ni mawasiliano positive kati ya wahusika.
"its not a lack of love; but lack of friendship that makes un happy couples.."
So watu walio ktk mahusiano mazuri co rahisi kusema mme au mke ana mapenz ya ziada..!
Muhimu urafiki wa dhati.
 
hivi ni kweli wanaume wana mapenzi ya kweli zaid ya wanawake? nauliza maana hili swala linanitatiza sana maana naona wanaume ndo hawana ....

please mawazo yenu wana JF.

ndio wanayo tena sana iwapo mc'chana ataonysha upendo wa dhati
 
Aisee, maswali mengine bana. Kama huna cha kuandika, kaa kimya. Nyamaza kabisa. Soma michango ya wengine.
 
hivi ni kweli wanaume wana mapenzi ya kweli zaid ya wanawake? nauliza maana hili swala linanitatiza sana maana naona wanaume ndo hawana ....

please mawazo yenu wana JF.

Yes mwanaume akikupenda they mean it.Ndio maana mwanaume hatongozwi atakuchezea tu .
 
hivi ni kweli wanaume wana mapenzi ya kweli zaid ya wanawake? Nauliza maana hili swala linanitatiza sana maana naona wanaume ndo hawana ....

Please mawazo yenu wana jf.
njoo ujaribu kwangu utapata majibu sahihi
 
Waefeso 05:22 - 33 inasema hivi:-

22 Enyi wake, watiini waume zenu kama kumtii Bwana wetu.
23 Kwa maana mume ni kichwa cha mkewe, kama Kristo naye ni kichwa cha Kanisa; naye ni mwokozi wa mwili.
24 Lakini kama vile Kanisa limtiivyo Kristo vivyo hivyo wake nao wawatii waume zao katika kila jambo.
25 Enyi waume, wapendeni wake zenu, kama Kristo naye alivyolipenda Kanisa, akajitoa kwa ajili yake;
26 ili makusudi alitakase na kulisafisha kwa maji katika neno;
27 apate kujiletea Kanisa tukufu, lisilo na ila wala kunyanzi wala lo lote kama hayo; bali liwe takatifu lisilo na mawaa.
28 Vivyo hivyo imewapasa waume nao kuwapenda wake zao kama miili yao wenyewe. Ampendaye mkewe hujipenda mwenyewe.
29 Maana hakuna mtu anayeuchukia mwili wake po pote; bali huulisha na kuutunza, kama Kristo naye anavyolitendea Kanisa.
30 Kwa kuwa tu viungo vya mwili wake.
31 Kwa sababu hiyo mtu atamwacha baba yake na mama yake, ataambatana na mkewe na hao wawili watakuwa mwili mmoja.
32 Siri hiyo ni kubwa; ila mimi nanena habari ya Kristo na Kanisa.
33 Lakini kila mtu ampende mke wake kama nafsi yake mwenyewe; wala mke asikose kumstahi mumewe.
 
hivi ni kweli wanaume wana mapenzi ya kweli zaid ya wanawake? nauliza maana hili swala linanitatiza sana maana naona wanaume ndo hawana ....

please mawazo yenu wana JF.

Research zinaonesha suala la mwanaume au mwanaume kuwa na mapenzi ya kweli ni personal issue. Haina uhusiano wowote na jinsia ya mtu.
 
hivi ni kweli wanaume wana mapenzi ya kweli zaid ya wanawake? nauliza maana hili swala linanitatiza sana maana naona wanaume ndo hawana ....

please mawazo yenu wana JF.

2ngekuwa waongo ungepata hzo chipsi kuku
 
jipu ndo unamhonga demu wako na chps kuku?,,, but hizo sio mapenzi,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,
 
Waefeso 05:22 - 33 inasema hivi:-

22 Enyi wake, watiini waume zenu kama kumtii Bwana wetu.
23 Kwa maana mume ni kichwa cha mkewe, kama Kristo naye ni kichwa cha Kanisa; naye ni mwokozi wa mwili.
24 Lakini kama vile Kanisa limtiivyo Kristo vivyo hivyo wake nao wawatii waume zao katika kila jambo.
25 Enyi waume, wapendeni wake zenu, kama Kristo naye alivyolipenda Kanisa, akajitoa kwa ajili yake;
26 ili makusudi alitakase na kulisafisha kwa maji katika neno;
27 apate kujiletea Kanisa tukufu, lisilo na ila wala kunyanzi wala lo lote kama hayo; bali liwe takatifu lisilo na mawaa.
28 Vivyo hivyo imewapasa waume nao kuwapenda wake zao kama miili yao wenyewe. Ampendaye mkewe hujipenda mwenyewe.
29 Maana hakuna mtu anayeuchukia mwili wake po pote; bali huulisha na kuutunza, kama Kristo naye anavyolitendea Kanisa.
30 Kwa kuwa tu viungo vya mwili wake.
31 Kwa sababu hiyo mtu atamwacha baba yake na mama yake, ataambatana na mkewe na hao wawili watakuwa mwili mmoja.
32 Siri hiyo ni kubwa; ila mimi nanena habari ya Kristo na Kanisa.
33 Lakini kila mtu ampende mke wake kama nafsi yake mwenyewe; wala mke asikose kumstahi mumewe.

thank youuuuuuu
 
Yote kheri..., ila muhimu ktk mapenzi ni mawasiliano positive kati ya wahusika.
"its not a lack of love; but lack of friendship that makes un happy couples.."
So watu walio ktk mahusiano mazuri co rahisi kusema mme au mke ana mapenz ya ziada..!
Muhimu urafiki wa dhati.

ua correct.
 
mapenzi ya kweli yako hivi...mwanamke anampenda mwanaume na mwanaume anampenda mwanamke...sasa kupata hii ni ngumu sana kwenye hii dunia mioyo miwili ipendane kwa dhati pasipo sababu yeyote ile..so hapo waweza jua kama yupi anampenda yupi..ila angalizo ni mioyo miwili ikutane halafu ipendane bila sababu yoyote amin hivyo hayo ndo mapenzi ya dhati...haijalishi ni mwanaume ama mwanamke wote wanapenda...amini hivyo yan
 
Back
Top Bottom