wanaume wana mapenzi ya kweli ,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,

wanaume wana mapenzi ya kweli ,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,

vaseline

Member
Joined
Jul 21, 2012
Posts
42
Reaction score
5
hivi ni kweli wanaume wana mapenzi ya kweli zaid ya wanawake? nauliza maana hili swala linanitatiza sana maana naona wanaume ndo hawana ....

please mawazo yenu wana JF.
 
hivi ni kweli wanaume wana mapenzi ya kweli zaid ya wanawake? nauliza maana hili swala linanitatiza sana maana naona wanaume ndo hawana ....

please mawazo yenu wana JF.

wEKA MAMBO WAZI! UNAMAANISHA NINI?
 
hivi ni kweli wanaume wana mapenzi ya kweli zaid ya wanawake? nauliza maana hili swala linanitatiza sana maana naona wanaume ndo hawana ....

please mawazo yenu wana JF.

Mimi mwenyewe suala hili linanitatiza sana. Mke wangu nampenda sana, yaani hata moyo wake ukifail naweza mpa wangu ili aendelee kuishi (au figo, maini, mapafu, atc). Lakini nina kademu (nyumba ndogo) yaaaani nakapenda kishenzi hata uniambie nini sikaachi. (Ila moyo siwezi kapa, Oh!!). Sasa mpaka mimi mwenyewe sielewi hii ndio nini!!!
 
Naamini kila mmoja anao upendo wa kweli,

Tukija kwenye swala la HOW? Wadada wanakuwa influenced sana na mioyo yao (sio wote), wanaume wanakua influenced na akili zao kuruhusu mioyo yao (japo sio wote), ila Mwanaume anaweza tumia akili yake kumuamininisha mdada kuwa anampenda kweli kumbe hana ata chembe ya upendo, unfortunately wadada mmeumbiwa kuamini sana so kugundua ni mpaka waone mabadiliko kwenye mwenendo wa mwanaume etc.

Ila tuache utani, wadada wasingekua wanaamini sana pangechimbika aseeee, maandalizi ya kuapproch yangezidi job interview.
 
kwenye mapenzi itategemea atakayepumbazika sana ndo atamzidi mwenza wake kwenye mapenzi.

Nakumbuka nilikuwa na kadem kalikuwa kananipenda sana kananilazimisha eti nikaoe kawe kapili wakati kalikuwa na mchumba ambaye alikuwa hajaoa. Iliniwia vigumu sana kukashawishi kaolewe.
 
kwenye mapenzi itategemea atakayepumbazika sana ndo atamzidi mwenza wake kwenye mapenzi.

Watalamu wanasema ''anayependa kidogo ndio anacontrol mahusiano na anayependa sana ndio anateseka zaidi'' Nadhani ishu hapa ni kuwa anyependa sana huwa anajitahidi kuonesha upendo wake kwa huyo mpenda kidogo, t

Kadiri mmoja anavyojitahidi kuongeza upendo, mwenzake anaanza kubweteka na upendo wake unaanza kudorora/kupungua kwa kuchukulia huyu kwangu kafika anaanza pia kupuuzia baadhi ya vitu muhimu, na hii nadhani kutokea pasipo kuamua ''kwa wale wanauchumi watakumbuka ishu ya scarcity kuwa 'kadiri kitu kinavyoadimika ndivyo uhitaji wake unaongezeka na kinyume chake pia ni sahihi''
 
ni Mungu pekee ndio mwenye upendo wa kweli...hii mingine ya kwetu ni ya Kichina
 
wanawake wanajua kupenda tho pia wanaweza hold mahusiano bila kupenda
 
Back
Top Bottom