wanaume wa kiafrika bana....

wewe utabaki kuwa K natutaendelea kukufanya kilalio pelekea u pum bavu walio kesha kukuleta dunian,nah nah bila shaka mimba yako ilipatikana kwa short time


acha matusi ya reja reja hapa sio pale unapovutaga bange kijana kalu....kenge we!
 
Baba angu mzungu my mom mtanzania .my father professor Yale
 
Baba angu mzungu my mom mtanzania .my father professor Yale

Yes mama angu alikuwa na pesa Enzi hizo mtaa mzima tulikuwa tuna swimming pool1978 hiyo masaki.wazazi wangu wamekutana world bank NY.unalo hilo
 
hahahahaha mamito snowhite njoo ujibu huku...unalo limekuganda....chezeya kuwa na swimingpul 1978...
Yes mama angu alikuwa na pesa Enzi hizo mtaa mzima tulikuwa tuna swimming pool1978 hiyo masaki.wazazi wangu wamekutana world bank NY.unalo hilo
 
Last edited by a moderator:
Yes mama angu alikuwa na pesa Enzi hizo mtaa mzima tulikuwa tuna swimming pool1978 hiyo masaki.wazazi wangu wamekutana world bank NY.unalo hilo

mmh!! asante wee chotara aka muke ya muzungu.. hivi unaweza hata kutengeneza chai Natalia??
 
Kama unaona kumfulia na kumpikia mumeo ni tatizo basi weka "beki 3" akusaidie kazi ndogondogo na "kubwakubwa" pia, ila usilete lawama baadae.
 

Haya siyo za mke bali za house girl basi......!
 
Umeona eeh! Sema hawa wazee hawajui, wanafikiri dunia yetu ni dunia yao. Bibi aliwahi nambia babu alimhonga kitawi cha mti kama kishika uchumba.

Sasa ni mwendo wa master card debit card

ninachokuomba tu, usikurupuke, usipate hofu/woga ukadhani wote wapo hivyo, vuta subira ukimtafuta/mtangulize Mungu, wapo tele tu wazuri ni kwamba na wakaka wa kileo mnawapenda hao wakesha ma club, mkikutana nao mnawaona hao ndio wajanja, kwanini yasiwakute?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…