Mdomo bakuli
JF-Expert Member
- Jan 7, 2017
- 3,443
- 6,986
Anao, kiukweli mie alikuwa ananihudumia sana kwa muda mfupi tuliojuana.
Na kuna wakati nilienda Arusha nikamwambia aje Silver hotel nilikofikia.
Hahahaaa.....ati akatuma mpelelezi aje kunichunguza.
Matokeo yake nikaishia kutombana na mpelelezi na hoteli akalipia yeye.
Cc: Arushaone, Filipo na Masai (tajiri wa madini) mnakumbuka ile siku?
Mpunga anao...rudi ngamani tu
SawaMtu mmoja mwenye Id tatu
We hujui story ilikoanzia bobuDuh afu tunaambiwa eti sisi ndo tunajishishia sijui cv! This is not fair bana!
Sasa hapo Madame B kutoka na shemeji yako ulipandisha hiyo hadhi na cv kweli?
Ndo maana naendele kusisitiza kuwa hakuna haja ya kuhukumiana humu maana wote ni wale wale
AhahahahahahahAnao, kiukweli mie alikuwa ananihudumia sana kwa muda mfupi tuliojuana.
Na kuna wakati nilienda Arusha nikamwambia aje Silver hotel nilikofikia.
Hahahaaa.....ati akatuma mpelelezi aje kunichunguza.
Matokeo yake nikaishia kutombana na mpelelezi na hoteli akalipia yeye.
Cc: Arushaone, Filipo na Masai (tajiri wa madini) mnakumbuka ile siku?
Mpunga anao...rudi ngamani tu
Nimechelewa nini bibie?Ushachelewa
Nawatania bhana.Ahahahahahahah
Afu ukute mpelelezi anakuwa mcharo basi balaaNawatania bhana.
Ila kiukweli uwongo katika mapenzi ni mbaya sana
Na mpelelezi ndo nadate nae mpaka leoAfu ukute mpelelezi anakuwa mcharo basi balaa
Hapana siyo hivyo...Tatizo huku utoto mwingi ndo maana napenda wazee
OK OK naona hujielewi...Nimechelewa nini bibie?
May b na samahani pia kwa hilo Madame B ila comment yako ndo ilinifanya nikuqoute bila kusoma zilizopita! By the way asante kwa kunisahihishaWe hujui story ilikoanzia bobu
Unakuta kijana mdogoooo ila kama ana 40.Nafikiria haraka haraka hapa wachaga ninaowajua yes huwa sio wabaya ila daah huwa sura zao zimechoka sana sababu ya pombeee..
Unakuta kijana mdogoooo ila kama ana 40.
Na ni wanawake kwa wanaume.Wanapenda sana pombe sijui kwanini
Tatizo huku utoto mwingi ndo maana napenda wazee