Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,627
Ungeyagegeda mkuuKuna siku moja nimeenda kushuhudia mechi uwanja wa Taifa (Simba na Yanga) kabla ya mechi wakaweka Singeli bwana weee!
Wanaume wa Dar walishika viti wakaanza kukatika viuno hakika mimi kama mwanaume wa Mikoani nilijikuta natamani zile nyonga zao.
Wale wanaume wana nyonga laini aisee.
Ungeyagegeda mkuu
Hahhha naona umewamulika kisawasawawanaume wa mkoani
wanabaka kuku
wanaogopa kuku aliyenyonyolewa kosa ana hirizi
wanaamini uchawi
wanatumia nguvu nyingi akili pembeni
hawaongeagi taratibu
hawapigi mswaki
Karibu mkoani mkuuwanaume wa mkoani
wanabaka kuku
wanaogopa kuku aliyenyonyolewa kosa ana hirizi
wanaamini uchawi
wanatumia nguvu nyingi akili pembeni
hawaongeagi taratibu
hawapigi mswaki
aaah wanazingua sana hawa wanajikuta wao ndo mashujaaHahhha naona umewamulika kisawasawa
Pia wanashenena.wanaume wa mkoani
wanabaka kuku
wanaogopa kuku aliyenyonyolewa kosa ana hirizi
wanaamini uchawi
wanatumia nguvu nyingi akili pembeni
hawaongeagi taratibu
hawapigi mswaki
Teeehhh nasikia kwa kushika viti lazima wavae dela na kufunga kibwebwe kana kambwa Wa na kwenda kusutanaKuna siku moja nimeenda kushuhudia mechi uwanja wa Taifa (Simba na Yanga) kabla ya mechi wakaweka Singeli bwana weee!
Wanaume wa Dar walishika viti wakaanza kukatika viuno hakika mimi kama mwanaume wa Mikoani nilijikuta natamani zile nyonga zao.
Wale wanaume wana nyonga laini aisee.
Teeehhh nasikia kwa kushika viti lazima wavae dela na kufunga kibwebwe kana kambwa Wa na kwenda kusutana
Hiyo no.13 umewapatia aiseeWanaume wa dar
13.Walafi
14.wazembe
15.legelege
16.
17.wadaku
18.maneno mengi vitendo sifuri
19.
20.
Nduki.......[emoji470][emoji470]