Wanaume wa dar tunawapongeza kwa harufu tamu

Japo vyuma vimetaiti Wanaume wa dar wananukia unyunyu mtamu hatare..yaani mwanamke ukiwa dhaifu unaweza ukavua kwenye corridor.
Mnatutega kweli mabikra wa dar tusiojua wanaume.
Yaani mnanukia vizuri kwa kweli? Au mnajipulizia UDI?
Dah.
Tutue .. OMG,
. Mxiueeeee
(Vijimaneno vyote hivi ni vyrtu wanaume wa dar)
 
Heri yako unajua harufu ya unyunyu mtamu. Kuna mijitu haijui wala haithamini unyunyu (LEO siwataji). Ndo dizaini hiyo hiyo unampelekea maua, birthday card, anakuangalia tu kama anachomwa sindano.....


Unyunyu una watu wake, mahali pake,na labda hadhi yake.

Binafsi naridhika na harufu YANGU natural na napenda MTU ambae hajipulizii uturi
Wenzio kuna kitu kinafichwa ndo maana mda wote kujipulizia pulizia
 
Japo vyuma vimetaiti Wanaume wa dar wananukia unyunyu mtamu hatare..yaani mwanamke ukiwa dhaifu unaweza ukavua kwenye corridor.
Mnatutega kweli mabikra wa dar tusiojua wanaume.
Yaani mnanukia vizuri kwa kweli? Au mnajipulizia UDI?
mwanaume Anaeishi Nawew Kununa Kataka Mwenyew
 
Japo vyuma vimetaiti Wanaume wa dar wananukia unyunyu mtamu hatare..yaani mwanamke ukiwa dhaifu unaweza ukavua kwenye corridor.
Mnatutega kweli mabikra wa dar tusiojua wanaume.
Yaani mnanukia vizuri kwa kweli? Au mnajipulizia UDI?
Sipendi kusimuliwa nakuja huko huko dar
 
Japo vyuma vimetaiti Wanaume wa dar wananukia unyunyu mtamu hatare..yaani mwanamke ukiwa dhaifu unaweza ukavua kwenye corridor.
Mnatutega kweli mabikra wa dar tusiojua wanaume.
Yaani mnanukia vizuri kwa kweli? Au mnajipulizia UDI?
Mmmhh!!!
Haudaiwi kodi ya nyumba kweliii?
Cyo Kwa sifa hizo
Ila kweli wanaume wa dar tuko wasitaarabu sana usafi tunaongoza
 
Japo vyuma vimetaiti Wanaume wa dar wananukia unyunyu mtamu hatare..yaani mwanamke ukiwa dhaifu unaweza ukavua kwenye corridor.
Mnatutega kweli mabikra wa dar tusiojua wanaume.
Yaani mnanukia vizuri kwa kweli? Au mnajipulizia UDI?
20181110_184339.png


20181110_184121.png


20181110_184045.png


20181110_184028.png


Mkuu ebu acha masihara, hivi ulitegemea hao hapo juu wanukie vibaya?
 
NAOMBENI KUFAHAMISHWA, WA NINI NIKIINGIA GOOGLE IMAGES, NIKIANDIKA ISHU INAYOHUSIANA NA MASHOGA LAZIMA PICHA YA WAZIRI WA UTALII IJE?
 
Back
Top Bottom