bogosho
Senior Member
- Jan 5, 2018
- 151
- 354
mi nadhani wanaume wapenda taarabu, michiriku, na vigodoro wanatuaibisha wanaume wengine wa dar..... nimesoma sehemu eti wanawake wa dar zamani walikua wanatoka geto wanachechemea saiv wanatoka geto wanachati na kupiga selfie
wanaume mnaokaa mbagala tandale keko em elimisheni kizazi Chenu mi mpaka nimeanza kukataa kama nakaa Dar
wanaume mnaokaa mbagala tandale keko em elimisheni kizazi Chenu mi mpaka nimeanza kukataa kama nakaa Dar