Wanaume wa Dar mnatumia mikorogo ili iweje labda?

Excel

JF-Expert Member
Jul 8, 2011
19,745
10,078
Nashindwa kuwapata vizuri wanaume wenzetu mnaoishi mkoa huu wenye uchumi mzito

Mnajidhalilisha sana aisee, mwanaume kajikoboa uso, vipodozi ananukia kama vile hatotoka jasho

Mwanaume kajinawirisha uso, kajipaka poda, cream na mikorogo kibao kiasi kwamba tunashindwa kujua wema ni yupi na Joseph ni yupi.

Kwa kweli wanaume wenzetu acheni haya masuala, huo ndio mwanzo wa kuishia kuwa shoga na kuupoteza uanaume wako halisi

Mengine mtaongezea.. shame on them
 
.
Ukitoka mikoani Dar utaona maajabu makubwa, kuna saloon wanaume ndio wasuka weaving, rasta na yeboyebo. Wanaume wanapaka mkorogo wawe soft, wanaume wanafanyiwa pedicure na manicure. wanaume wanatinda nyusi. Wale wanaume wetu wa mkoani wakitoka shamba wanahitaji maji ya kuoga na kipande cha jamaa tu.
 
Watu mna mambo kweli kweli.Ila mtoa thread kwa wengine wakisoma andiko hili watadhani utani,bali tabia hii inaonyesha maadili kwa sasa yapo chini sana.Wanaume kweli wengine ukikutana nao unaona aibu kukiwa na jinsia nyingine.Halafu ukute kajazia sehemu ni kero haswa.Wanaume tujirekebishe bado muda upo wa kufanya hivyo.
 
Du, kweli sasa uchafu na kuwa rafu ndo dili kwa mwanaume, haya sasa tutaoga mara mbili kwa wiki, kupaka mafuta aina yoyote no, kunyoa no, kuchana no, madevu tutaachi hovyo, nguo kubadili mara mbili kwa wiki na hakuna kupiga pasi, viatu hakuna kupiga rangi wa raba kuzifua ni maramoja kwa mwezi, kuswaka ni siku ja jumamosi tu. Kunawa uso asubuhi no. ILI TUWAFURAHISHE NYIE.
 
We inaelekea ni wakumwitu sana ushazoea kuparamia mabushladies wako wamezoea kikwapa na magaga mguuni. Hapa mjini babu kila mzee anaitwa baby! Ukifika msata tuambie tukutumie kabinti kakuogeshe upigwe marashi kidogo huku mademu wanataka mitindo hiyo la sivyo utaishia kupiga nyeto.
 
Huyo wa kike, anaetumia mkorogo anakuwa hana pozi, sembuse wa kiume.

Mtoto wa kiume kwanini utumie mkorogo?

Ili iweje?

Unataka ufanane na dada ako ili utongozwe?

Kwanini usijiamini, usijivunie kwa vile ulivyozaliwa!

Hivi huo muda mrefu wa kukaa kwenye kioo mnaupata wapi?

Hebu nyie mnaotumia mkorogo (namaanisha wa kutoka pande yoyote nchini bila kujali mkoa aliomo), hebu badilikeni, na mjikubali.
 
Sio mkorogo tu, kuna likaka lilikuwa linakuja na suti saluni kufanya pedicure na manicure. Saluni wahudumu wote wadada, wateja wote wadada. Linachangia na stori. khaa, siku hizi silioni tena

King'asti;
Wanasema ukisikia ..Pwa jua...Lilikuchukulia nini?? Usilichukie hivyo, jensio hilo nalo linataka 50 kwa 50. Dah! Kweli ukiibiwa waweza ua kwa maneno tu
 
Hehehe mi nataka 50/50 kwenye fursa ila sio kwenye bills na kusukuma gari ikikwama. Lol

Lingekuwa handsome basi. Hata halihamasishi!
King'asti;
Wanasema ukisikia ..Pwa jua...Lilikuchukulia nini?? Usilichukie hivyo, jensio hilo nalo linataka 50 kwa 50. Dah! Kweli ukiibiwa waweza ua kwa maneno tu
 
Dear fellows, trust me huu ni unyanyasaji wa haki za binadamu na udhalilishwaji mkubwa kwa sisi wanaume halisi tunaoishi dar. Wa mikoani acheni izo #WanaumeWaDar ain't supposed to trend. Leteni majungu tu ila jueni kuwa wanaume wenye mandinga na pesa mingi wako dsm. Usipende ku generilize. Mtoa mada
 
Back
Top Bottom