Wanaume uwezo umeshuka?

Uwezo ni pesa tu hizo mbwembewe ziingine ni kunitafutia kigo kwenye 6 kwa 6

Cc: ephen_
 
Uwezo ni pesa tu hizo mbwembewe ziingine ni kunitafutia kigo kwenye 6 kwa 6

Cc: ephen_
Una akili sanaa
Pesa ndio mpango mzima
 
Wanasema jf ya zamani ilikua ya moto ndo nakagua kama ni kweli😂
Tafuta nyuzi zangu za zamani utashuhudia mkuu...🤣
Skuizi Jf gaina quality kama pale kale pia watu hawaheshimiani ndio maana wakongwe wengi wamebaki kua wasomaji na masikhara tu
 
NIKABAKI NAJIULIZA HIVI KWELI WANAUME HAWANA TENA UWEZO WA KUSIMAMIA KUCHA NA KUMRIDHISHA MWANAMKE BILA BUSTER YA AINA YOYOTE? HIVI UWEZO UMEPOTEA KIASI HICHO AMA NI NINI KINACHOTAFUTWA?
Labda umuulize ephen_
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…