mapipando
JF-Expert Member
- Jun 8, 2015
- 2,921
- 3,549
Teh teh mkuu hili jambo lilinitokea kwa huyo jimama tu ila kwingine napagawisha kama kawa.Unapiga sana puli.
Acha mara moja
Teh teh mkuu hili jambo lilinitokea kwa huyo jimama tu ila kwingine napagawisha kama kawa.Unapiga sana puli.
Acha mara moja
Good boy. Manake linamaliza sana nguvuNimeacha m
Muda
MhhhhAfu ukute ndio ashakula ela yako mingi afu msumari unagoma!namshindilia hata mkono aseee au chupa ya chai
Mhhh buji..chai hiiKuna demu kamezeshwa paka wa kichawi. Wakati wa kugegedana kule chini Tukuyu nyau hufungua mdomo wake Na wewe Mbozi huungia kwenye mdomo wa nyau badala ya Tukuyu. Nyau huyo hukuachia mate yake yenye sumu Kali ambayo inakufanya upate gono sugu. Msichana huyu akigegedwa tu mahusiano hufa
Ina kitafunio ?Mhhh buji..chai hii
Hii kali sasaHii ilishawahi kunitokea kwa msichana mzuri (nurse) tuliyependana sana. Huyu dada tulitaka kuoana na kwa vile alikuwa anafanya kazi mbali baada ya kumaliza chuo aliniomba nikakae kwake walau mwezi mmoja. Nakumbuka nilifika kwake alfajiri huku nikiwa nimetandikwa kweli na mvua kwan nilipelekwa na pikipik toka mjin. Alinifunika na mablanket na kunikumbatia kwa ham kubwa kwan tulikuwa hatujawah kufanya. Nilipojaribu kuingiza ni kama nilikuwa najaribu kuingiza kwenye jiwe, ngum haina mfano. Nilihisi huenda ni hofu ya kupata VVU , kwa hasira alfajir hiyo alienda kufungua dispensary na kuniletea box 3 za kondom, lakin tulijaribu mara nying kila siku kwa zaidi ya wiki 3 hali ikawa the same. Nakumbuka tulikuwa tunalia usiku kucha maana nataka nayy anataka lakn nikijaribu tu ni jiwe. Tulimwona daktari akasema sina tatizo. Kwa ufupi alinambia aliwah kuumwa na kupelekwa kwa mganga wa kienyeji ambaye alimwingilia. Niliahirisha kumwoa,,, usiombe hali iliyo nikuta ikukute
ila hiyo ya pini kichwani si nakua nakusaidia nawewe unachelewa kukojoaMsitufanyie ivo bibie sio poa..
Teh teh umemshtukiaeeMhhh buji..chai hii
Samahani weh ni me or ke?Pini inauhusiano gani na tendo siamini
Hawa wana tatizo la kisaikolojia na lingine wanalijua; kujichua; punguzeni hakuna kurogwa wala nini!!!Hii kali sasa
Mie unasoma comments tu sina la kuchangia hapo
Hizi ishu zilikuwepo lakini kwa uchache sana na kwa sababu maalum... Kumfanyia hivyo binti yako ni kumzibia nyota yake... Hivi ni mzazi gani anaweza kufanya ujuha wa namna hiyo!? Hivyo wanaofanya hivyo ni kwa sababu maalum sana...Mshana Jr. Kuja huku utupe ufafanuzi
Hii nayo ni sababu muhimu sana japo wengine hutumia shortcut ya uchawi... Ikikutokea kama hivyo na kama ni uchawi kweli unafanya unautengua kwa kufanya mambo kinyume na mazoea shati unageuza nje ndani viatu kushoto kulia chupi mbele nyuma..ilishahi kunitokea ila sizani kama alikua anahusika maana nakumbuka alilia sana akasema sina hisia na yeye...nafkiri ilikua kwasababu nlikua na mastress yangu alafu siku hiyo alikua very hot ..akanilazimisha tufanye
Haya mambo hutokea ujanani kwenye story nyingi za kutishana japo yapo lakini ni kwa kiwango cha chini sana.... Na kinachosababisha kwa sehemu kubwa ni hofu tuuHakuna lolote acha kupiga puli.
Ama labda Mshanajr aje athibitishe