Pablo Blanco
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 7,328
- 6,591
Ukioa mwanamke kwasababu tu ana sura nzuri, anavutia, ana shape, ana wowowo kubwa utajuta, tena utajuta baada ya miaka mitatu tu. Adui number moja wa mwanamke ni muda tu, nadhani tumeelewana.
Mliooa mi nawashangaa sana, mnatuponda sana sisi wakina Pablo ambao hatujaoa wakati nyie mmeoa na mna michepuko Kama kawa, sasa si yaleyale tu...Ova!!! Povu ruksa
Reference: Angalia ndoa yeyote baada ya miaka kumi then linganisha appearance ya mume na mke.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mliooa mi nawashangaa sana, mnatuponda sana sisi wakina Pablo ambao hatujaoa wakati nyie mmeoa na mna michepuko Kama kawa, sasa si yaleyale tu...Ova!!! Povu ruksa
Reference: Angalia ndoa yeyote baada ya miaka kumi then linganisha appearance ya mume na mke.
Sent using Jamii Forums mobile app