Mlasani
Senior Member
- Nov 29, 2012
- 113
- 28
Poleni na mishemishe za siku wanajamvi!
Hivi kwanini wanaume tunakuwa wachafu kiasi hiki?????? hii ni kero kubwa sio tu kwa yule mtu wa karibu na mhusika bali hata jamii kwa ujumla. Utakuta mtu mzima kikwapa ndo hicho kinatema 'ASIDI'; kule kwenye 'angle' ndo usiseme!!! ni noumer!
Hebu tujiulize, mwanaume anapaswa kuwa na nguo ngapi za ndani? boxa au vyupi na singland! hii ni kwa sababu hizi ni nguo muhimu sana na shida yote inaanzia hapo. utakuta mtu ana boxa moja au mbili akijitahidi sana. hii ni sifa kubwa ya kutosha kumfanya mtu anuke. Mwanaume msafi walau unatakiwa kuwa na ch*pi au boxa kuanzia kumi (10) na singland vilevile! hii ni kwa maana kwamba kila unapooga basi unabadili. sio mtu unaoga na unairudia mara tatutatu.... halaaaaa!
Nywele nywele nywele....... au vuzi kwa lugha yetu ile. wanaume wengine wana miili inayotoa harufu maana utakuta mtu mzima amefuga msitu! kote yaani chini huko na vikwapani ni noma....... kama unapenda kuwa na nywele hizi basi shart uwa msafi!!!! hakikisha unaoga vizuri na unakausha fresh ikiwezekana apply hata manukato kiasi basi. sio mtu unakuwa na ufundo wa nywele chafu na utategemea nini kitokee kama sio bonge la harufu chafu inayokera watu.
Wanaume tubadilike bwana..... utamkuta mkaka kaulamba lakini laiti ukamfunua utakimbia. Nawapa pole sana wale wanawake wanaokutana na hii shuruba ya wanaume wachafu, hasa wale ambao ni wachafu kupindukia na wanadiriki kuacha jukumu la kufua nguo za ndani ambazo ni kero kubwa kwa wake zao au madada wa kazi. Haipendezi hata kidogo mtu kuwa mchafu!
Hivi kwanini wanaume tunakuwa wachafu kiasi hiki?????? hii ni kero kubwa sio tu kwa yule mtu wa karibu na mhusika bali hata jamii kwa ujumla. Utakuta mtu mzima kikwapa ndo hicho kinatema 'ASIDI'; kule kwenye 'angle' ndo usiseme!!! ni noumer!
Hebu tujiulize, mwanaume anapaswa kuwa na nguo ngapi za ndani? boxa au vyupi na singland! hii ni kwa sababu hizi ni nguo muhimu sana na shida yote inaanzia hapo. utakuta mtu ana boxa moja au mbili akijitahidi sana. hii ni sifa kubwa ya kutosha kumfanya mtu anuke. Mwanaume msafi walau unatakiwa kuwa na ch*pi au boxa kuanzia kumi (10) na singland vilevile! hii ni kwa maana kwamba kila unapooga basi unabadili. sio mtu unaoga na unairudia mara tatutatu.... halaaaaa!
Nywele nywele nywele....... au vuzi kwa lugha yetu ile. wanaume wengine wana miili inayotoa harufu maana utakuta mtu mzima amefuga msitu! kote yaani chini huko na vikwapani ni noma....... kama unapenda kuwa na nywele hizi basi shart uwa msafi!!!! hakikisha unaoga vizuri na unakausha fresh ikiwezekana apply hata manukato kiasi basi. sio mtu unakuwa na ufundo wa nywele chafu na utategemea nini kitokee kama sio bonge la harufu chafu inayokera watu.
Wanaume tubadilike bwana..... utamkuta mkaka kaulamba lakini laiti ukamfunua utakimbia. Nawapa pole sana wale wanawake wanaokutana na hii shuruba ya wanaume wachafu, hasa wale ambao ni wachafu kupindukia na wanadiriki kuacha jukumu la kufua nguo za ndani ambazo ni kero kubwa kwa wake zao au madada wa kazi. Haipendezi hata kidogo mtu kuwa mchafu!