Wanaume tuwe makini na wachungaji

Wanaume tuwe makini na wachungaji

Kashishi yetu

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2014
Posts
3,634
Reaction score
3,941
Nakumbuka Zamani Ulikuwa Ukigombana Na Mke Wako Anakimbilia Kwa Balozi Wa Nyumba Kumi, Kama Ni Nyakati Za Usiku Basi Balozi Huamua Mke Alale Nyumbani Kwake Hadi Asubuhi Aje Awasuruhishe, Baadae Mabalo Wakabainika Mabalozi Kuwala Uroda Wake Za Watu Kwa Kutumia Mwanya Huo.

Sasa Turudi Kwenye Mada,mabalozi Baada Ya Kupoteza Imani Ya Kuaminiwa Watu Wengi Wakahamia Kuwaamini Wachungaji,sasa Ninawaambia Huko Nako Siyo Salama,rejea Mch.Gwajima Na Frola, Nabii Mwigira Aliyezaa Na Mke Wa Mtu Ambae Kesi Ipo Mahakamani,mch,aliyehukumiwa 30 Jela Kwa Ubakaji.Kwahiyo Wanaume Tufuatilie Nyendo Za Wake Zetu Na Ukaribu Wao Kwa Wachungaji.
 
Bora mmeshajionea wenyewe uchungaji na uzinzi wapi na wapi heshima yao imeshuka wala hawana thamani yoyote na hiyo yote ni shauri ya kutomjua mungu wa Kweli ,faida ya kuabudu sanam la mzungu ndo ilo
 
Kwahiyo Nawakaribisha Mueleze Wale Wote Mlotendwa Na Wachungaji,pia Pale Tag Magomeni Mnakumbuka Yule Mch.Aliyefumwa Na Mume Wa Mchumba Ambae Alikuta Sms Za Mchungaji Kwenye Sm Ya Mchumba Wake Za Mapenzi Akimtongoza Na Kijana Kuzipeleka Baraza La Wazee Na Wazee Kulipeleka Mbele Na Kisha Akaishia Kufukuzwa? Hebu Leta Na Wewe Unachojua Kuhusu Kukengeuka Kwa Wachunga Kondoo Hawa,ni Wachungaji Wangapi Wamefumaniwa?Hebu Weka Picha Na Maelezo Kama Unayo Ili Tuelimishane
 
Wachungaji nao binadamu wenzetu, wanamapungufu, wanamatamanio na wanamatatizo kwenye ndoa kama zingine.
Ndio maana unakuta wanashindana kujenga mahekalu ya Familia zao magari ya kifahari , lakini hawaboreshi makanisa yao kwa maana nyumba zao za ibada. Watu wanafanyia misa kwenye jua kali au kwenye mahema.
Sasa mtu kama huyo ukimkabidhi mkeo atamwacha kweli.?
 
Achana na zamani aisee,zamani bwana ilikua safi sana,kiwango cha maadili kilikua chanya sana,kama ni,matatizo ya ndoa yaani hakuna anayeweza kupata ufumbuzi sahihi zaidi ya wahusika wawili mke/mme,wa tatu mungu,mchungaji,baba wa kanisa sijui msimamizi wa ndoa,hakuna kitu.Mfano mdogo tu wa jinsi maadili yalivyobadilika ni JKT hawa vijana wanaenda kwenye kambi hizo,zamani ilikua ni sehemu ya kupandikiza uzalendo kwa vijana,lakini kwasasa tunasikia mambo kibao,ngono,mateso,visasi nk,maadili yameshuka si kwa wakubwa wala wadogo,najua wapo wajuaji watauliza kwani maadili ni nini.
 
Kwahiyo Nawakaribisha Mueleze Wale Wote Mlotendwa Na Wachungaji,pia Pale Tag Magomeni Mnakumbuka Yule Mch.Aliyefumwa Na Mume Wa Mchumba Ambae Alikuta Sms Za Mchungaji Kwenye Sm Ya Mchumba Wake Za Mapenzi Akimtongoza Na Kijana Kuzipeleka Baraza La Wazee Na Wazee Kulipeleka Mbele Na Kisha Akaishia Kufukuzwa? Hebu Leta Na Wewe Unachojua Kuhusu Kukengeuka Kwa Wachunga Kondoo Hawa,ni Wachungaji Wangapi Wamefumaniwa?Hebu Weka Picha Na Maelezo Kama Unayo Ili Tuelimishane

... KAMA unaamini wachungaji wote watakwenda
peponi basi utakuwa unakosea. Hebu sikia hii.
Mchungaji mmoja aliyejulikana kwa jina la
Michael Njoroge kutoka nchini Kenya
amekumbwa na skendo nzito baada ya
mwanamke mmoja ambaye ni changudoa
kuibuka hadharani na kudai alinunuliwa na
pastor huyo kwenda kanisani kutoa ushuhuda
wa uongo, Amani limeinyaka.
Kwa mujibu wa mitandao mbalimbali ya
nchini humo, kahaba huyo aliyejitambulisha
kwa jina la Ester Mwende, awali alifuatwa na
mtumishi huyo wa Mungu na kumtaka
wafanye mapenzi zoezi ambalo lilifanyika.
Akasema baada ya zoezi hilo, ndipo mtumishi
huyo wa Kanisa la Fire Ministries Embakasi
alimtaka afike kanisani hapo ili kutoa
ushuhuda wa uongo na kumuahidi kwamba
angemlipa kiasi cha shilingi 10,000 za Kenya
(kama 180, 000 za Tanzania).
Mwande ambaye alikuwa akitoa ushuhuda
huo kwenye Kituo cha NTV cha nchini humo,
alisema alikubali na kesho yake alikwenda
kanisani kwa mchungaji huyo anayesifika
sana kwa miujiza na upako.
Akasema: Nilipofika nilikaa na kujifanya
nimepinda midomo. Muda wa maombezi
mchungaji akasimama na kusema mimi nina
matatizo, nimepinda midomo kwa sababu
kuna kanisa nilikwenda nikasema kuna
mchungaji amebaka mtu kwa hiyo pigo langu
lilikuwa kupinduka midomo.
Mwande aliendelea kusema kwamba mpaka
anatoka kanisani hapo bado alikuwa
amejipindisha midomo jambo lililomfanya kila
mtu aliyemuona aamini.
Akasema kesho yake alirudi tena na muda wa
watu kushuhudia uponyaji, yeye alitoka mbele.
Mchungaji alipomwona aliwaangalia watu na
kuwaambia: Huyu mama ni yule aliyekuja jana
akiwa amepinduka midomo kwa sababu ya
kuwasema vibaya watumishi wa Mungu.
Mwande alisema alishuhudia kwamba baada
ya maombezi ya siku iliyopita anamshukuru
Mungu alimponya na midomo yake iko
sawasawa kama zamani, kauli iliyosababisha
kanisa zima kulipuka kwa shangwe za
kumtukuza Mungu.
Mwande alisema aliamua kuweka wazi madai
hayo baada ya mtumishi huyo kumrusha
fedha nyingine walizokubaliana akidai
kwamba mbali na yeye pia mchungaji huyo
alimtaka amtafutie makahaba wengine watatu,
jambo ambalo alilitekeleza lakini nao pia
hakuwalipa.
Makahaba wenzake Mwande, wao walisema
walimtumikia mtumishi huyo kwa kutoa
shuhuda za uongo lakini hakuwalipa ujira wao
na walipomfuata aliwajeruhi miguuni.
Walisema baada ya tukio hilo, walitoa ripoti
kwenye Kituo cha Polisi cha Embakasi lakini
maafande hao walikuwa wakisuasua kumtia
mbaroni mtumishi huyo.
 
dawa ya hao wachungaji ni kuwabanduaa wake zao hadi watoto wao maana wamezidi
 
Mambo haya ata hapa JF yamo tabia ya babu Asprin kukagua kila ke nayo tuikemee kwa jina la Emmanuel. Amen.
 
Last edited by a moderator:
Lakini elewa kwamba tuhuma za flora Mbasha Na Mch Gwajima zimechongwa. Utakuja uujue ukweli baadae
 
dawa ya hao wachungaji ni kuwabanduaa wake zao hadi watoto wao maana wamezidi

Aisee bahati mbaya Kitabu chetu hakifundishi uzinzi! labda upande wale wa upande wa pili wa jino kwa jino!
 
Kwa issue hii,Gwajima atawakosa waumini Wake wengi kwani matendo yake hayatoi nafasi kwa waumini kuendelea kumuamini Tena.
 
Na sisi wanawake tufuatilie waume zetu na watoto wetu wa kiume kwa karibu manake huko makanisani viongozi wengi wa makanisa wanawalawiti wanaume wenzao na watoto wa kiume!
Hii ni hatari!!
 
Back
Top Bottom