natural beauty inahitaji matunzo iendelee kuvutia , .ngozi nzuri inahitaji mafuta mazuri na chakula kizuri n maji safi vyote vyenye gharama, tako zuri linahitaji kulishwa chakula kilichopikwa na mafuta safi ya alizeti na kupakwa mafuta mazuri linase kwenye chupi likuvutie,manyonyo ya kuvutia yanatunzwa kwenye sidiria quality ya cotton ,papa linaitaji chupi nzuri zenye neti neti zikuvutie,sasa mkuu niambie bila kutoa ela iyo natural beauty utai maintain vp?
Enhee mkuu nimekumbuka ,ivi sio ww umeandika uzi juz juz apa ukijutia pesa ulizopoteza kwenye mambo ya wanawake katka miaka 10 ya utumishi na ukaahidi kujirekebisha ? kwaiyo ulikua una tuchora tu sio.