SometimesNa hata ukiitafuta,kumridhisha mwanamke bado ni myth! Tafuta kama unahisi inakupa furaha wewe sio mkeo
Safi sana, your such a true definition of wife material, nami ntakuigaPole mkuu..Mimi mume wangu akiyumba huwa namwambia aache kupanic tunakuwa tunasurvive na za kwangu wakati yeye anajiweka sawa
Then after a while na yeye anakuwa stable tena tunaendelea na maisha. Kunyanyasana mwiko.

Pole mkuu..Mimi mume wangu akiyumba huwa namwambia aache kupanic tunakuwa tunasurvive na za kwangu wakati yeye anajiweka sawa
Then after a while na yeye anakuwa stable tena tunaendelea na maisha. Kunyanyasana mwiko.
Hahahahaha karibu mkuu financial services hutojuta kuniiga kamweSafi sana, your such a true definition of wife material, nami ntakuiga![]()
![]()
Usijali mkuu hata mke wako anaweza change kulingana na unavyomtreat ukiwa na hela....sometimes mtu anajijengea tabia kutokana na mazingira na aliyowahi kuyapitia.Wachache sana kama wewe