Boeing 747
JF-Expert Member
- Mar 30, 2018
- 3,517
- 9,452
Huyu simba naona ametamalaki sana huku mtandaoni....
Bila shaka kila mmoja amekubali namna simba anavyommnyoosha mkewe...hapo dharau haiwezi kuja kwenye mahusiano..
Kutamalaki kwa hii picha inaonekana kuna mahali wanaume tunakwama....
Hebu tujipange upya na dada zetu watatuheshimu.
Heshima chumbani lazima iwepo.
Bila shaka kila mmoja amekubali namna simba anavyommnyoosha mkewe...hapo dharau haiwezi kuja kwenye mahusiano..
Kutamalaki kwa hii picha inaonekana kuna mahali wanaume tunakwama....
Hebu tujipange upya na dada zetu watatuheshimu.
Heshima chumbani lazima iwepo.