Oscar Lyrics
JF-Expert Member
- Oct 8, 2022
- 2,732
- 4,652
Nawasalimu kwa jina la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.
Wanaume tunapitia changamoto nyingi kama ilivyoandikwa, tutakula kwa jasho.
Mwanaume anapambana ili kuitunza familia yake, analipa Gharama zote za chakula, ada, matibabu, mavazi nk
Siku zinaenda watoto wanamaliza masomo wanapata kazi wanaanza kusema nani kama mama.
watoto wanaanza kumgombania mama, Huku mzee anatelekezwa mwisho wa siku anakufa na stress.
Siyo wote wanaofanya hivyo but kwa wale wenye tabia ya ubaguzi kwa wazazi muache mara moja,
kweli wapo wanaume ambao wameripotiwa kuzitelekeza familia zao laini wengine wanasingiziwa.
Na huu uchonganishi huwa unatoka kwa mama, utasikia baba yenu alikuwa analewa na wanawake zake wakati mimi nikihangaika kuwatunza peke yangu.
Ndo maana kwenye familia nyingi unakuta wababa wanatangulia kufa, Mwanaume halii, anakufa na machungu yake moyoni.
Msondo ngoma waliimba wimbo unaosema 'wanaume tumeumbwa matesoo, matesoo kuhangaika.
Eeeh mwenyezi Mungu tusaidie wanaume tuwe na mwisho mwema.
Wanaume tunapitia changamoto nyingi kama ilivyoandikwa, tutakula kwa jasho.
Mwanaume anapambana ili kuitunza familia yake, analipa Gharama zote za chakula, ada, matibabu, mavazi nk
Siku zinaenda watoto wanamaliza masomo wanapata kazi wanaanza kusema nani kama mama.
watoto wanaanza kumgombania mama, Huku mzee anatelekezwa mwisho wa siku anakufa na stress.
Siyo wote wanaofanya hivyo but kwa wale wenye tabia ya ubaguzi kwa wazazi muache mara moja,
kweli wapo wanaume ambao wameripotiwa kuzitelekeza familia zao laini wengine wanasingiziwa.
Na huu uchonganishi huwa unatoka kwa mama, utasikia baba yenu alikuwa analewa na wanawake zake wakati mimi nikihangaika kuwatunza peke yangu.
Ndo maana kwenye familia nyingi unakuta wababa wanatangulia kufa, Mwanaume halii, anakufa na machungu yake moyoni.
Msondo ngoma waliimba wimbo unaosema 'wanaume tumeumbwa matesoo, matesoo kuhangaika.
Eeeh mwenyezi Mungu tusaidie wanaume tuwe na mwisho mwema.