Wanaume tumebaki wa chache sana

Wanaume tumebaki wa chache sana

Mshamba wa kusini

JF-Expert Member
Joined
Jun 30, 2015
Posts
2,897
Reaction score
3,706
Aisee! Wanaume tumebaki wa chache sana.

wiki kama moja hivi nyuma nimepanda daladala LA kawe nikakutana na jamaa kapaka rangi za kucha (baada ya tafiti yangu isiyo rasmi nikagundua zinaitwa "jelly")

hivi wanaume mbona tunapukutika kwa kasi kubwa sana ? Nini tatizo?

kuna mwengine nae ni msanii wa bongo fleva anajiita nedy music, eti nae alikuwa analipiza kisasi kufanya vitu vya kike kisa wanawake wanavaaga suruali zao.
 
Nedy ni mzanzibar kaja Dar amegwe arudi kisiwani kwao. Mashoga wanatoka Tanga, Mwanza, Mara, Zanzibar yanakuja kurundikana Dar.
 
lakini ukiangalia mishoga yote iliyopo dar imekuja ukubwani na ikiwa tayari mishoga....

huko mikoani ndio yanakojifunzia alafu yanakuja kurundikana dar
 
.....Mura hebu futa neno 'Mara' haraka kabla sija 'Kungh'echa'.

Sent using Jamii Forums mobile app
Acha mkwara wewe kwani huyu si katokea Mara
images.jpg
 
km hao jamani kuiga huku hii michezo hijaanza hapa tz tu ni hawa wangese wameambukiza vijana
 

Attachments

  • Clip-Rap-Mind-of-a-stoner-Machine-Gun-Kelly-ft-Wiz-Khalifa.jpg
    Clip-Rap-Mind-of-a-stoner-Machine-Gun-Kelly-ft-Wiz-Khalifa.jpg
    27.6 KB · Views: 35

Similar Discussions

Back
Top Bottom