Wanaume tujisahihishe. Ukipanda magimbi, usitarajie kuvuna Tanzanite!

Dahh umenifunza mno na nimeelewa maneno yako sanaa. Upendo hujengwa kwa upendo
 
Mkuu kumbe wewe ni mpenzi wa Lucky, hata Keveli namuona ni mfuasi mkubwa sana.

Nimeoma quotes zake ktk kutoa hisia zake, maneno kama,
God bless women
Crazy world
Think about street children...zote ku praise the good side of women.

Lakini usisahau pia Luckydube aliimba
-Women of today
-Cool down
- Keep on knocking
- I will never fall in love
- It 's not easy

Zote hizi akijaribu ku critique the harm side of women hasa kwenye mambo ya familia ikiwemo.hili la.kutelekeza watoto.


Bila kupepesa macho, mie mfuasi wa huyu jamaa tokea chekechea mkuu. Born to suffer, Mamaa, You got no right, I am sorry n.k

Ni kweli haya mambo hayana upande mmoja na yanatofautiana kati ya mtu na mtu lakini mara nyingi, wahanga ni watoto na akina mama.
 
Mkasa wa JAMIE FOXX ni mzito sana.

Yaani kutelekezwa na Wazazi wake wote wawili!

Akiwa ni MTOTO mwenye Umri wa Miezi SABA tu!

Lakini pamoja na hayo yote hakuweka Kinyongo, na alichokifanya ni yeye (JAMIE) kuwatafuta WAZAZI wake.

Na mpaka kufikia kuwatafuta WAZAZI wake yeye (JAMIE) ameshakuwa Mtu mzima, Maarufu (Jina kubwa) na mwenye PESA.

Kwa kweli ana MOYO wa kipekee, na ni MTU wa kusamehe.

Kwa huu ULIMWENGU wetu tulionao ni vigumu sana kukutana na MTU mwenye MOYO kama wake.

Abarikiwe sana


Yep mkuu, life story ya Jamie Foxx ni nzito balaa. Daah life hiliii !

-Kaveli-
 
Kwanza nikupongeze kwa uandishi mzuri, very objective, subjective, literaly based and excellently critical but also one sided story.

Umezungumza jambo muhimu sana hasa kwa wakati huu ambapo mimba zisizotarajiwa ni nyingi kupita kiasi despite all the efforts of sexual education inayofanywa na taasisi mbalimbali na jamii kwa ujumla.

God bless woman.
Ni vile tu wanawake nao hawana choice huenda nao wangekuwa wanawakimbia watoto if they had that opportunity, sifa tunazowapa huenda zingekuwa sio za kweli, zingekuwa kinyume chake.

Mku mtoa mada umewahi kufikiria kwamba umedate demu, anakuringia mwanzo mwisho, u.etupa efdorts zako zote ili kumpata na pengine anakuachia matusi, dharau na kejeli kibao, ukaamua kukomaa nae, pengine ni money oriented Woman, akakupa penzi kwa mnunuzi( just because you give her money), je ukimaliza hapo kinchobaki nyuma utafatilia?

Pengine hata mwanamke mwenyewe hajui baba wa mtoto ni nani mpaka mtoto azaliwe ijulikane anafanana na nani kati ya walio wengi( this is the women's mistakes let them carry their own cross).
And sometimes( nimeshuhudia na kunitokea hata mimi) mwanamke anatembea na wanaume wengine ihali wewe ndio uko nae, mpaka unashangaa hata akipata mimba huwezi amini kabisa kama ni yako( moyo haukubaki kabisa). Unaona fedheha kukubaki.mimba ambayo mtaa mzima au hata marafiki wako na hata wewe mwenyewe unaona kabisa unauziwa mbuzi kwenye gunia( yes you hit the cervix, may be the very same day another men hit it).

Katika.maswala la kifamilia nwakati.mwingine ni ngumu sana kusolve hizi conflicts na ndio maana unaona kamwe haziishi maana binadamu( wanaume na wanawake hawaishi vituko).


N:B i'm the product of the pops who had no plans for my mother but only fck her.

But still i consider the other side of the coin, i'm not here to just put blames to either of parents, however, whatever you narrated is all the truth.

When woman are still hot in their young ages ni matatizo, anaweza akawa anakukera kila siku na kukutambia nipe talaka yangu kama ni mtoto hanishindi kulea, bila kufikiri impact ya kulea as a single mother, life is full.of dynamics, kesho hivi kesho vile. Lakini mtoto anayekuwa at the end life la kutelekezwa na baba linauma sana na linatesa hata kama Mama ana uwezo wa kusupply kila mahitaji.

Ujumbe wako na tjread yako ntaishare kuna rafiki yangu wa karibu sana anadalili za kutelekeza mtoto wake mwenyewe wa kumzaa. Hii itamfunza kitu.


Yep, the narration sounds one-sided. Haya mambo ni pande zote, lakini kwa jicho la uhalisia... wanawake & watoto ni more victims compared to men.

Lakini whatever the case might be, kivyovyote vile... mapenzi/mahusiano ya wazazi kufika tamati ISIWE ni sababu ya kumtelekeza mtoto pia. Thus, any conflict kati ya wazazi should NOT be a 'justification' ya baba to abandon his young bloody kid. That's where I am basically centered if ya readin' btn the lines.

Thanks for your great words though.

-Kaveli-
 
Huu uzi mbeleni watu wa magazeti watauiba n'a hawataonyesha credit kwa mleta uzi, uzi mkare sana huu

Hahahaa upo sahihi mkuu. Hilo linawezekana sana. Plagiarism kwa media za bongo ni O.H (ordinary habit). Nowadays ishakuwa 'common mistake'.

Thanks bro.

-Kaveli-
 
Mkuu Keveli, nakuvulia kofia mkuu, kwa hilo li Sredu umechimba madini sana, hilo ni bonge la thred kwa 2018 umechukua tuzo.

Lakini mkuu kuna wakati unatelekeza mtoto hata hujui kama umetelekeza maana kazaliwa mazingira ya kutatanisha sana.

Umenunua mgegedo, kesho unaambiwa nina mimba yako, mimba kwa muuzaji? Haiwezekani mwisho wa siku utatufanya tulee watoto si wetu.

Wanawake wajanja sana.


''Mimba kwa muuzaji?''

Mkuu Pythagoras , umenichekesha sana. Ikitokea hivyo unalea tu mkuu, mtoto wa mwenzio ni wako pia. Na huwezi jua ya mbeleni, pengine huyo aweza kuja kukufaa maishani.

Ila kama unagegeda muuzaji kwa kuzingatia principles za 'safe sex' with ndom, muuzaji ataanzaje kukubambikia mimba? But it may happen. Whenever you are doubtful on parenting authentication to your kid, DNA is to chip in and play.

-Kaveli-
 
Kaveli umenigusa sana !bora mkumbushane


MBITIYAPE, karibu dada'ake. Tunateleza kwingi na mwisho wa picha tunakuwa watu wa kulaumu sana pale tunapohitaji msaada kutoka kwa wale tuliona hawana thamani. Ni muhimu tukumbushane wanaume.

-Kaveli-
 
Mkuu kaveli.huu uzi umenitoa machozi aisee. Mimi ni miongoni mwa watu niliolelewa na mama peke yake! Mbaya zaidi baba alikuwepo na uwezo wa kunilea alikuwa nao ila aliamua kwa makusudi kunipotezea ili kumkomesha mama. Mama alipambana mpka sasa najitegemea.hongera sana mkuu.kutukumbusha majukumu!


Mkuu nundaz , pole sana kwa hayo mapito ktk makuzi yako. Ni wengi wamavaa viatu vyako. Sasa imagine baadaye baba mambo yanamuendea kombo na ndipo anaanza kukutafuta sasa na kuona uthamani wako ili umpe matunzo... na anakuwa mtu wa lawama kuwa umemtelekeza! Walahi this world isn't fair. I am sure hata kama ukimsamehe, hawezi kupata the same RESPECT & TREATMENT kama unayompa mama mzazi aliyekupambania mpaka ukapata dira ya maisha.

Tuendelee kustruggle bila kuchoka na kumuomba Mola. Muhimu tuwe responsible kwa damu zetu.

-Kaveli-
 
ujumbe mzuri sana,ila pia mkumbuke kutowadharau single mother.single mother wanahaki ya kupendwa na kuolewa pia.


You are right mkuu. Tena kuna single mothers ni wazuri, watamu, behaved, kuliko hata hao ambao bado hawajazaa.
Kila mwanamke ana haki ya kupendwa na kuolewa. Kudumu kwenye mahusiano ama ndoa... ni jambo jingine.

-Kaveli-
 
Lucky Dube
"God Bless The Women"

In the middle of the night I heard her pray so bitterly
And so softly yeah...
She prayed for her children
She prayed for their education,
Then she prayed for the man
That left her with her children.
We, praise heroes everyday
But there are those that we forget To praise
The women of this world.
They don't run from anything
They stand and fight for what's right

[Chorus:]
Oh oh oh...
God bless the women

Even when times are so hard
They are so cool, calm and collected.
They don't run from anything,
They stand and fight
For what is right

They do not run from responsibilities
They stand and fight for what Is right

[Chorus: till fade]


''They do not run from responsibilities''. Word Up !

Thanks mkuu.

-Kaveli-
 
Hizi mada ndio zinatakiwa kwenye hili jukwaa sio kutuletea habari za makalio makubwa


Hahahahaa habari za 'makalio makubwa' na 'Mihogo ya jang'ombe' ndo vimetawala jukwaa.

-Kaveli-
 
Nimeumia sana!!


Pole sana madam Sakayo endapo uzi huu umekukumbusha mengi. We live in a crazy world! Ila ni wajibu wetu kuendelea kukumbushana na kuwekana sawa.

Wanawake mmejaaliwa uvumilivu wa hali ya juu sana kwenye mahusiano. Ni mengi yanawakumba na mnasimama imara.

-Kaveli-
 
Mkuu kumbe wewe ni mpenzi wa Lucky, hata Keveli namuona ni mfuasi mkubwa sana.

Nimeoma quotes zake ktk kutoa hisia zake, maneno kama,
God bless women
Crazy world
Think about street children...zote ku praise the good side of women.

Lakini usisahau pia Luckydube aliimba
-Women of today
-Cool down
- Keep on knocking
- I will never fall in love
- It 's not easy

Zote hizi akijaribu ku critique the harm side of women hasa kwenye mambo ya familia ikiwemo.hili la.kutelekeza watoto.


Frankly, Hip Hop na Reggae ndiyo mziki wangu of all time.
-Kaveli-
 
Dahh umenifunza mno na nimeelewa maneno yako sanaa. Upendo hujengwa kwa upendo

Hakika... Upendo hujengwa kwa upendo.

Ukipandikiza mbegu ya upendo, utavuna upendo na heshima.
-Kaveli-
 
Back
Top Bottom