Wanaume tujisahihishe. Ukipanda magimbi, usitarajie kuvuna Tanzanite!

Nipogo dear kaveli..... Sijakuona muda mrefu!

Amen kaveli


Kweli sipitii sana humu siku hizi. Fast life, ila nakuwa nachungulia mara moja moja kama hivi.
Miss ya sana dear Jakitoo.

-Kaveli-
 
Nikikumbuka matokeo ya DNA kutoka kwa mkemia mkuu wa serikali, na ile kauli ya "mwenye uhakika wa baba wa mtoto ni mama"
Najisemea waache wapambane na hali zao tuu hakuna namna hela ngumu eti.., ukalee mbegu za watu?
 
Kachanganya lugha mkuu so watoto wajuao lugha ya malkia ndio watauelewa ambao ni wachache humu!!



Kwenye LUGHA yoyote duniani, kuna kitu kinaitwa 'code switching' au 'code mixing'.
Kuchanganya lugha sio dhambi.

-Kaveli-
 
''They do not run from responsibilities''. Word Up !

Thanks mkuu.

-Kaveli-
Lucky Dube​

"Children In The Streets"

Sitting by the door
One morning
Looking at the children going to school man, then I thought about the ones in the street
Moving up and down
No where to go
No education
No future
Then I thought about their parents man, why do they suffer so much
If they have parents why
(if you really don't want no children why do you have them, why) [x2]

[Chorus:]
We can fight and overcome
We can stop children from the street[x3]

It's a cold winter man, moving bare footed down in the street man
His father is relaxing in the best bar in town asking them to fill his glass man

His mother is kissing on another man
If you really don't want no children, why do you have them
If you can't care for them why...​
 
Neno "Being responsible" ni neno pana sana na huanzia mbali, kuna mtu hapo juu naona amezungumzia mimba kwa muuzaji, huyu ni mtu mwenye dalili zote za kuwa . "Irresponsible " how in the name of hell unaenda mwaga ndani kwa muuzaji? Kwani matokeo ya kumwaga ndani ni yapi? Kwanini siku ukiletewa mimba ushangae ikiwa ushawahi mwaga ndani na uwezekano wa wewe kuwa mhusika kuwa ni mkubwa?

Ubinafsi pia ni jambo linalosababisha watu kuwa irresponsible by choice, kama mwanamke amekunyanyasa, au vinginevyo huoni kama ni adhabu kubwa sana kutelekeza your own blood? Ubinafsi wakusema atajua mwenyewe na mwanae, ndio unaopelekea mtu aamue kumtelekeza mama na mtoto wake.

Breakups, hili pia ni tatizo jingine ambalo ikitokea walio brake up hawana busara basi victim huwa watoto. Ikitokea wahusika waliotengana kila mtu akapata new marriage au mahusiano mapya basi kimbembe huanzia hapa, hasa wanawake, kinachowafanya muwakataze waume zenu kuwaona watoto wao wa nje ninini? Mshawahi kujiuliza hawa watoto wenu wa kambo wamewakosea nini? Mtu atakujibu eti akienda kuonana na his former baby mama wanaeza kurudia kwa siri, come on!this insanity ushawahi kumzuia mwanaume kucheat na ukafanikiwa? Tuwe fair na hawa watoto wa nje ambao tayari tunajua wapo.

Kwakuwa life ni complicated thing, tujitahidi kadri tuwezavyo kuavoid unnecessary pregnancy.
 
Neno "Being responsible" ni neno pana sana na huanzia mbali, kuna mtu hapo juu naona amezungumzia mimba kwa muuzaji, huyu ni mtu mwenye dalili zote za kuwa . "Irresponsible " how in the name of hell unaenda mwaga ndani kwa muuzaji? Kwani matokeo ya kumwaga ndani ni yapi? Kwanini siku ukiletewa mimba ushangae ikiwa ushawahi mwaga ndani na uwezekano wa wewe kuwa mhusika kuwa ni mkubwa?

Ubinafsi pia ni jambo linalosababisha watu kuwa irresponsible by choice, kama mwanamke amekunyanyasa, au vinginevyo huoni kama ni adhabu kubwa sana kutelekeza your own blood? Ubinafsi wakusema atajua mwenyewe na mwanae, ndio unaopelekea mtu aamue kumtelekeza mama na mtoto wake.

Breakups, hili pia ni tatizo jingine ambalo ikitokea walio brake up hawana busara basi victim huwa watoto. Ikitokea wahusika waliotengana kila mtu akapata new marriage au mahusiano mapya basi kimbembe huanzia hapa, hasa wanawake, kinachowafanya muwakataze waume zenu kuwaona watoto wao wa nje ninini? Mshawahi kujiuliza hawa watoto wenu wa kambo wamewakosea nini? Mtu atakujibu eti akienda kuonana na his former baby mama wanaeza kurudia kwa siri, come on!this insanity ushawahi kumzuia mwanaume kucheat na ukafanikiwa? Tuwe fair na hawa watoto wa nje ambao tayari tunajua wapo.

Kwakuwa life ni complicated thing, tujitahidi kadri tuwezavyo kuavoid unnecessary pregnancy.


Word. Umetema madini tupu binti kiziwi.

-Kaveli-
 
Bila kupepesa macho, mie mfuasi wa huyu jamaa tokea chekechea mkuu. Born to suffer, Mamaa, You got no right, I am sorry n.k

Ni kweli haya mambo hayana upande mmoja na yanatofautiana kati ya mtu na mtu lakini mara nyingi, wahanga ni watoto na akina mama.
Umeonae eeh, You got no right, pale baba anapomkataa live mtoto asiyemzaa baada ya kumlea kwa muda mrefu sana bila kujua kumbe hakuws mwanae wa kweli wa kumzaa.....ile nyimbo naisikiliza hadi natoa machozi.

Najaribu kuangalia position ya mtoto ambaye hana kosa lolote anavyoumizwa kihisia kwa kosa la makusudi la mama.
Wasiwasi wangu juu ya Thread ya Kaveli ambayo nakiri kabisa ni Thread bora! Inaweza kutuingiza chaka kwa huruma na kwa kudhani tunaepuka kutelekeza watoto tukajikuta tunalea watoto si wetu.
 
Yep, the narration sounds one-sided. Haya mambo ni pande zote, lakini kwa jicho la uhalisia... wanawake & watoto ni more victims compared to men.

Lakini whatever the case might be, kivyovyote vile... mapenzi/mahusiano ya wazazi kufika tamati ISIWE ni sababu ya kumtelekeza mtoto pia. Thus, any conflict kati ya wazazi should NOT be a 'justification' ya baba to abandon his young bloody kid. That's where I am basically centered if ya readin' btn the lines.

Thanks for your great words though.

-Kaveli-
Kaka Kaveli( nimekuita kaka kwa Heshima), unadhani basi nina neno juu ya mtazamo wako, mkuu umeshauaaaaa! Mimi najaribu tu kuendeleza thread lkn kila kitu nakupata vizuri sana.
 
Frankly, Hip Hop na Reggae ndiyo mziki wangu of all time.
-Kaveli-
Sijui nikutafute wapi tukae chini tuzungumze haya maswala muhimu, i'm so interested on how you got in touch to this world.

Umechagua muziki mzuri ndio maana una miakili na miupendo mingi mingi. Mimi sikufikii mkuu... God bless you! Nimejifunza kitu kutoka kwako.
 
Pole sana madam Sakayo endapo uzi huu umekukumbusha mengi. We live in a crazy world! Ila ni wajibu wetu kuendelea kukumbushana na kuwekana sawa.

Wanawake mmejaaliwa uvumilivu wa hali ya juu sana kwenye mahusiano. Ni mengi yanawakumba na mnasimama imara.

-Kaveli-
Asante sana mkuu
 
Back
Top Bottom