Wanaume tuheshimiane

Status
Not open for further replies.
Pole sana , usijali yataisha hayo siku moja.
Kazana na masomo ,usije kufeli.
 

Mwaume nae mzazi na anahaki ya kukaa na mtoto wake kama anaaminiwa anaweza kukaa nae, zaidi hayo masuala mengine mimi sijayashuhudia ila niliambiwa na mtoto na nilihakikisha nimemwambia ili achukue hatue.

Baba yangu hajazaa na mimi kiasi chakuanza kumkatalia mtu mtoto wake, mtu mwenye akili timamu na ameenda shule anajua uchungu wa mwanae angewezaje kumkatalia?????

Kuna wanaume wangapi wanalea watoto wao?? mimi wa kwanza kuingia labour kadunia hii khaaa!!!!!!!!!
 

Mimi nimekuelewa bwana...kila la heri katika masomo yako bibie...

Jambo la msingi,usiasahau kumpigia kura Mh Edward Ngoyai Lowassa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ifikapo siku ya uchaguzi...October 25,mwaka huu.


ahsante.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…