Mabwaku...........
Nije nikisikie wewe ndio unajitongozesha!!!!!!?????#&*@?"':;,
ahaaaaa hapo nimekuelewa!maana ingekuwa present pasingekalika hapa loh!!!Me, as of my past
Na furaha yako ndio raha yangu!!!!!hahahahaaaa umenifanya nicheke my brother..............
nimekusikia na neno lako kwangu sharia
ahaaaaa hapo nimekuelewa!maana ingekuwa present pasingekalika hapa loh!!!
Mamboz jf pipo
am really curious,mwanaume unapenda unifatilie had unipate ndo inakupa uhakika wa mapenzi yetu?au pia nikiona nmekuonyesha dalili bt hata hustuki nikiku'approach utalichukuliaje hli?unapenda ur girl atumie style ipiiii...tiririkeni basii
Mwisho wa kutongoza ni umri gani?
Sema ukweli mi nlikutongoza afu ukantosa nasikitika hadi leo
Nusu ya umri wako
Kwamba kijana mwenye miaka 36 haruhusiwi kutongoza, sio?
Ndio maana yake!
Kwa umri huo angoje tu kutongozwa
By then anapaswa awe ameshakagua na kuweka kitu ndani,atabaka ili nini?Asipotongozwa, abake mitetea? Mi nimetongoza mpaka nilipofikisha miaka 60 ndo nikastaafu.
Muendelee kusubiri tuje wenyewe maana wengine mpaka tuzungushwe ndio raha yetu
By then anapaswa awe ameshakagua na kuweka kitu ndani,atabaka ili nini?
Hapo kwa bold pole yake bibi
mna tuchelewesha sasa pale ambapo tunakuwa tumezimika na nyie.
Pole ya nini wakati yeye mpaka leo namtongoza?