Who Cares?
JF-Expert Member
- Jul 11, 2008
- 3,507
- 3,364
Anayetongozwa na anayetongoza lao moja!! How comes mtu anakuja kwako bila aibu anakutongoza at the same time he is married!! You dare even listen to him!!!
I really dont know what is wrong with human Beings!!
You men!!! can you just answer me the following
1. Do Women have different taste?
2. How do you feel when you are sleeping with another woman while you have your own wife?
Even if women have different tastes why in the first place did you get married to a woman who is not of your choice? Because if you had married a woman of your choice, There is no reason of looking for another woman!!
nyie!! wanaume, nyie!!!!! Grrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr!!!!!! To hell with you all
its been long since you made me laugh Fidel, hahahaaaaaaaaaaaa lol!!!
Unajua mm nachukizwa na hii mibaba mingine ni mibabu kabisa utaona ipo na vibinti vidogo kama wajuu zao unasikia sweetie nipapase kipara huu ni uharibifu wanapanua mashimo na kuwachokesha hawa mabinti.sijui sisi tutaoa wapi.
mianamume kama hiyo inafaa kupigwa mawe...
Imekuwa ni jambo la kawaida kwa baadhi ya wanaume walioa siku hizi wanapowatangoza wanawake huanza kuwaponda wake zao kwa kudai kuwa wake zao ni washamba,hawana mvuto...mara mwingine utasikia mara ohoo yaani simpendi kabisa siku hizi mke wangu,yaani sijui hata kwanini nlimuoa..wengine wanadai oho mke wangi nililazimishwa tu kumuoa ila mimi wala simpendi mimi nakupenda wewe...mwingine utasikia wewe unafana sana na meko wangu ila wewe mzuri zaidi na unaakili zaidi ya mke wangu...
Hii inaweza kusababisha yule unayemtongoza akamdharau mkeo if they will gwt time to meet..au anaweza kumsahau hata kama hamfahamu.
Jamani hivi kwani unapomtongoza mtu ni lazima useme haya?hakuna maeneo mengine mazuri ya kumuapproach huyu mrembo mpaka ummuingize mkeo?
Enyi wanandoa fanyeni yote but have atleast a minimum respect to ur wives..
Imekuwa ni jambo la kawaida kwa baadhi ya wanaume walioa siku hizi wanapowatangoza wanawake huanza kuwaponda wake zao kwa kudai kuwa wake zao ni washamba,hawana mvuto...mara mwingine utasikia mara ohoo yaani simpendi kabisa siku hizi mke wangu,yaani sijui hata kwanini nlimuoa..wengine wanadai oho mke wangi nililazimishwa tu kumuoa ila mimi wala simpendi mimi nakupenda wewe...mwingine utasikia wewe unafana sana na meko wangu ila wewe mzuri zaidi na unaakili zaidi ya mke wangu...
Hii inaweza kusababisha yule unayemtongoza akamdharau mkeo if they will gwt time to meet..au anaweza kumsahau hata kama hamfahamu.
Jamani hivi kwani unapomtongoza mtu ni lazima useme haya?hakuna maeneo mengine mazuri ya kumuapproach huyu mrembo mpaka ummuingize mkeo?
Enyi wanandoa fanyeni yote but have atleast a minimum respect to ur wives..
Wanawaponda wake zao kwa sababu wamewachoka.
Hata kama umemchoka mkeo..hupaswi kumponda,ni ushamba na ujinga
XACTLY!!!!!!! asante kwa kumalizia jioni yangu kwa amani GS!!!!
mnapeeeeenda!!!!!!!!
wengine wanasemaga wako mbioni kuwa divorce wake zao lakini wake zao ving'ang'anizi hawataki divorce, halafu wakibambwa ndio tunasikia habari za ngumi and or kulia machozi mpaka miguuni
Ha ha ha taratibu bibie ndo JF hii...i have beeen avoiding u the whole day.....una nini kwani wewe????
Ha ha ha taratibu bibie ndo JF hii...
VV inabidi uelewe tofauti ya ndoa na kupenda/kutamani...wanaume au wanawake hata kama kaolewa/kaoa...haimaanishi kuwa kaishiwa hisia za kupenda au hata kutamani...kwa hiyo hapo hakuna suala la ujinga...ni suala la uasilia wa mwanadamu....
DO WOMEN HAVE DIFFERENT TASTES?...
YESSSSS...NDIO.....mfano mzuri ni kwako weye..naamini kabla hujaolewa ulipitia sio chini ya boyfriends 4 kwa kiwango cha chini...ila kila mmoja anayo taste yake tofauti na mwenzake (usibishe...aliyekutoa upya ni tofauti na uliye naye leo)...kumbuka pia utamu wa shubiri chungu yake
How do you feel when you are sleeping with another woman while you have your own wife?
hapa bibie unaongelea feelings...nazo zipo tofauti kwa kila mtu na kwa kila sehemu na kwa kila wakati...kwa wanaume wengi huwa tuna-feeling ya "URIJALI WA KIUME" kwa kuweza kumshawishi mtoto wa kike atoe nguo zake za ndani na afanye utakavyo wewe...
pia baada ya kufanya kile kitendo wanaume huwa tuna feelings za "ukosefu" kuwa tumetenda kosa kubwa kutoka nje ya ndoa zetu...hata kama uliyetoka naye ni miss world/universe or mama obama...lazma roho/nafsi inakusuta kuwa umemkosea mkeo mpendwa
HITIMISHO....mwanaume kutoka nje ya ndoa sio kweli hampendi mkewe...tunawapenda sanaaaaaaaa...ila basi tuuu TAMAAA ZETU
...NI MAONI TUU...FINITO
i have beeen avoiding u the whole day.....una nini kwani wewe????
na kwa nini uniavoid dear? ............... uwanja mpana kama huu, what is the problem?
Huu ni uongo..sidhani kama wanawake wana taste tofauti ni dhana tu ambayo watu wengi tunayo kwamba mwanamke mmoja na mwingine wametoutiana...na huu ni mfumo dume ulioanzishwa na wanume ili kuhalalisha wao kuwa na mpenzi zaidi ya mmoja.....SI KWELI KABISA
Dah nilifikiri ni FL tulio mzoea ntaka nimuulize Avatar kaipeleka wapi? maana majina yanchangaya haya!!kweli kabisa..hii nimeshawahi kukutana nayo...wanaume wa siku hizi ni vimeo kweli kweli.
ha ha ha watu kama hao muhimu kuwepo kuchangmsha kijiwe!!kuna watu wengine unawavumilia hawavumiliki ila jamaaa sio bure!!! we are not compatible may be!!!!!
kuna watu wengine unawavumilia hawavumiliki ila jamaaa sio bure!!! we are not compatible may be!!!!![/QUOT
dont take anything persona here!!!!!, if compartibility doesnt work, try miechievous!!!!!!!!!!!!!
JF ina mambo jamani