Naamini asilimia 98 Sina tatizo, kumkalisha nimeshajaribu Sana labda naomba unisaidie mbinu nyingine tafadharPia mleta mada ujichunguze unaweza kuwa ni sababu ya tatizo. Kuna wamawake wengine mmewe akifika nyumbani mwanamke anaanzisha kelele na visa hadi nyumba inakuwa haikaliki. Jichunguze na kama hauna tatizo mkalishe chini mzungumze mtoane kasoro na kurekebishana mwishowe tatizo litaisha.
Asante mamy kwa maneno ayowanaume ni wabinafsi sana ,wana roho mbaya kuloko shetani lea tu mwanao mamy ishi nae tu maisha yaende
we dada aliekutendaga kaleta balaa mana nakuona kila mahali unakandia wanaume....... sasa sijui sahv umekua lesbian au unakula dyudyu tu kimaslahiwanaume ni wabinafsi sana ,wana roho mbaya kuloko shetani lea tu mwanao mamy ishi nae tu maisha yaende
Asante kwa ushaurKabla hauja chukuwa uamuzi wa mbali anza kwa kuongea nae mweleze unacho taka au unavyo jiskia anaweza kuwa anajuwa umekubaliana na moves zake so ongeeni kwanza asipo tulia home lete feedback
Huyo kakutana na masharobaro siku ukikutana na mwanaume utafurahi mwenyewe na kunialika pepsi baridi japo sitahitaji.we dada aliekutendaga kaleta balaa mana nakuona kila mahali unakandia wanaume....... sasa sijui sahv umekua lesbian au unakula dyudyu tu kimaslahi
Unataka mimba nyingine?Habarini wana mmu, Mimi Ni mwanamke ambaye nimeolewa na Nina Mtoto mmoja mchanga miezi 3,tatizo nililonalo Ni kwamba mume Wangu huwa hapend kukaa nyumbani yeye akirud kutoka Kazini Ni kupumzika kidogo then anatoka Hadi usiku Sana Hana muda Hata wa kunisaidia kukaa na Mtoto angalau nami nipumzike kidogo maana anajuwa jinsi Mtoto anavyosumbua na tunakaa wenyewe tu Mimi na yey mume Wangu,daima yeye anajali company za marafiki tu. je apo tabia hii inaashiria nini?mapenzi yapo kweli au ndio Sina changu tena?
Lesbian uyowe dada aliekutendaga kaleta balaa mana nakuona kila mahali unakandia wanaume....... sasa sijui sahv umekua lesbian au unakula dyudyu tu kimaslahi
Naamini asilimia 98 Sina tatizo, kumkalisha nimeshajaribu Sana labda naomba unisaidie mbinu nyingine tafadhar
Walichokufanya wanaume Mungu tu anajua.wanaume ni wabinafsi sana ,wana roho mbaya kuloko shetani lea tu mwanao mamy ishi nae tu maisha yaende
Mungu anajua na atawalipa accordingly!Walichokufanya wanaume Mungu tu anajua.
Valentina safi sana wewe ni mfano wa kuigwa, umeshaolewa?Jaribu kujichunguza na upande wako pia. Wanaume hawapendi kelele wala dharau...
Vinginevo pata muda wa kuongea nae kumweleza vile unavotamani awe karibu na familia. Ukiongea nae kwa utulivu naamini atabadilika,hakuna mwanaume kichwa ngumu kwa mwanamke mnyenyekevu....
We dada najikutaga napenda kusoma coment zako basi tu imetokeaJaribu kujichunguza na upande wako pia. Wanaume hawapendi kelele wala dharau...
Vinginevo pata muda wa kuongea nae kumweleza vile unavotamani awe karibu na familia. Ukiongea nae kwa utulivu naamini atabadilika,hakuna mwanaume kichwa ngumu kwa mwanamke mnyenyekevu....
Hahahahah unahitaji psychological therapy usimpende mtu kwa sababu handsome, anapesa, sharo kuna maisha baada ya hayo yote.mna dudu nyie mashoga tu