Wanaume tabia hii vipi?

Naamini asilimia 98 Sina tatizo, kumkalisha nimeshajaribu Sana labda naomba unisaidie mbinu nyingine tafadhar
 
Kabla hauja chukuwa uamuzi wa mbali anza kwa kuongea nae mweleze unacho taka au unavyo jiskia anaweza kuwa anajuwa umekubaliana na moves zake so ongeeni kwanza asipo tulia home lete feedback
 
wanaume ni wabinafsi sana ,wana roho mbaya kuloko shetani lea tu mwanao mamy ishi nae tu maisha yaende
we dada aliekutendaga kaleta balaa mana nakuona kila mahali unakandia wanaume....... sasa sijui sahv umekua lesbian au unakula dyudyu tu kimaslahi
 
Kabla hauja chukuwa uamuzi wa mbali anza kwa kuongea nae mweleze unacho taka au unavyo jiskia anaweza kuwa anajuwa umekubaliana na moves zake so ongeeni kwanza asipo tulia home lete feedback
Asante kwa ushaur
 
Unataka mimba nyingine?
 
Naamini asilimia 98 Sina tatizo, kumkalisha nimeshajaribu Sana labda naomba unisaidie mbinu nyingine tafadhar

by the way....unasema upo mwenyewe umechoka kulea mtoto? Miss wa kuja jf kuchat unao wa kutosha ila kulea mtoto huwezi mpaka usaidiwe na mista sio?
 
Jaribu kujichunguza na upande wako pia. Wanaume hawapendi kelele wala dharau...

Vinginevo pata muda wa kuongea nae kumweleza vile unavotamani awe karibu na familia. Ukiongea nae kwa utulivu naamini atabadilika,hakuna mwanaume kichwa ngumu kwa mwanamke mnyenyekevu....
 
Siyo siri mi mwenyewe kukaa na mtoto mihani sana. Usijali mamii tupo wengi mumeo yupo kama Mimi hapa. Anakupenda wala usihofu
 
Valentina safi sana wewe ni mfano wa kuigwa, umeshaolewa?
 
Vitu vingine bwana, kwahiyo unataka mumeo akirudi kazi yake iwe kubembeleza mtoto si ndiyo maana yako?
 
Vumilia tu kidogo, mtoto akifikisha miaka miwili hivi+ utakuja tena kusema mumeo anapenda kukaa na mtoto sana.
 
Men are givers, women are receivers.
 
We dada najikutaga napenda kusoma coment zako basi tu imetokea
 
kuna wanawake wakisha kuwa na watoto wanakuwa rafu rafu...wachafuwachafu sijui ni kuzidiwa na kaz ? wanaume hatupendagi.ndio maana hatukai nyumban
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…