Wanaume sisi Part 1

Wanaume sisi Part 1

Wambuzi

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2011
Posts
558
Reaction score
335
Wanaume wanaumwa ugonjwa maarufu unaitwa 'I want that taste Disease' hatutosheki...Utakuta mtu ana mke mzuri,unywele hadi mgongoni,shape kama kachorwa na bikari,kamuoa yuko home lakini akiwa nje ukipepe kama kawa,na anacheat na mwanamke ambaye wengine hata huelewi kafuata nini maana wako below Standard hata za mkewe,Mwanamke ana Chunusi nyingi kuliko Vinyweleo,wakati mkewe chuma cha pua yaani TBS ya mapenzi hakuna kabisa...Wa ukweli yuko home lakini bado anataka kujua Taste ya hii mpya aliyoiona ikoje na akishatest basi,roho inatulia macho yanasaka taste mpya,Tukifanikiwa kupona ' I want that taste Disease' hakuna viumbe tunajua kupenda kama sisi wanaume na tutawapenda nyie wadada hadi mshangae na kuota vipele vya baridi,lakini shida ndo hiyo,asilimia 95 au zaidi tunaumwa,mke kibonge tunacheat na Miss Kishumundu,hata haijulikani Hobby yetu ni Mifupa au Nyama.Eh Mwenyezi Mungu saidia macho yetu yaache kuona sana na turidhike na Taste moja na sio kila Taste maana Safari sisi,Tusker Sisi na Balimi sisi,absolutely no Choice...Wanaume msinichukie,kukubali udhaifu ni nusu ya Kupona udhaifu huo.
Kwa Hisani ya watu wa Kishumundu wakishrikiana na Wamachame.
 
mweeee!!! haso unadhan n nyny 2 mnnaumwa uo ugonjwa? c pia 2nao cha mhm kuj2lza!!! boooo

Hii ni kwa hisani ya watu wa Tanga!

"I want that taste syndrome!"
 
kwa niliyokumbana nayo weekend hii nathubutu kusema
kuwa wanaume weengi hawaridhikagi hata uwafanyie nini!!!!
 
^^

Ingawa ni too general kuna harufu ya ukweli
^^
 
uwa na shape nzuri,sura nzuri sio kigezo cha kumdhibiti mwanaume asiwe na mpango wa kando.Nakubaliana nawe kuwa tupo wanaume ambao katika mazingira yoyote lazima atoke nje.Lakini wakati mwingine wanawake wenyewe wanawasukuma waume zao kuwa na mpango wa kando kwa sababu zifuatazo
1.Mwanamke anakupangia ratiba
2.Mwanamke uliye naye ni mrembo lakini ukitaka kumuandaa unapigwa kiwiko.
3.Wanawake wengine wanausingizi kama wamechangi akipanda 2 kitandani ni usingizi mpaka kuna kucha na hataki umguse.
4.Mwanaume ukipiga bao la moja hawezi kurudia round nyingine na anakwambia anaumia kwa kifupi hakuridhishi wakati yule mwenye chunusi anakufikisha kunakositahili.
5.Mwanamke anaweza kuwa mrembo lakini akawa wa baridi hana mzuka kwenye mambo fulani.
Sababu hizo unaweza zisikuathiri endapo huyo ni mwanamke wako wa kwanza kuwa naye kimapenzi.
 
wanaume wengi hufuata masaburi tu kwa wanawake huu ndio ugonjwa wao mkubwa
 
umecopy facebook umekuja kupaste JF
Wanaume wanaumwa ugonjwa maarufu unaitwa 'I want that taste Disease' hatutosheki...Utakuta mtu ana mke mzuri,unywele hadi mgongoni,shape kama kachorwa na bikari,kamuoa yuko home lakini akiwa nje ukipepe kama kawa,na anacheat na mwanamke ambaye wengine hata huelewi kafuata nini maana wako below Standard hata za mkewe,Mwanamke ana Chunusi nyingi kuliko Vinyweleo,wakati mkewe chuma cha pua yaani TBS ya mapenzi hakuna kabisa...Wa ukweli yuko home lakini bado anataka kujua Taste ya hii mpya aliyoiona ikoje na akishatest basi,roho inatulia macho yanasaka taste mpya,Tukifanikiwa kupona ' I want that taste Disease' hakuna viumbe tunajua kupenda kama sisi wanaume na tutawapenda nyie wadada hadi mshangae na kuota vipele vya baridi,lakini shida ndo hiyo,asilimia 95 au zaidi tunaumwa,mke kibonge tunacheat na Miss Kishumundu,hata haijulikani Hobby yetu ni Mifupa au Nyama.Eh Mwenyezi Mungu saidia macho yetu yaache kuona sana na turidhike na Taste moja na sio kila Taste maana Safari sisi,Tusker Sisi na Balimi sisi,absolutely no Choice...Wanaume msinichukie,kukubali udhaifu ni nusu ya Kupona udhaifu huo.
Kwa Hisani ya watu wa Kishumundu wakishrikiana na Wamachame
.
 

hata cc tuna hako kaugonjwa
lakini hua tunakaficha sio kama
nyie wenzetu!!
 
Back
Top Bottom