UZZIMMA
JF-Expert Member
- Nov 20, 2014
- 414
- 483
Wachache wanafurahia kua single, ila wengi hawafurahii.
Kuna changamoto gani unaipata ya kuwa single, na kwanini upo single hadi muda huu? Tujulishane hapa.
Kama wewe unahitaji kutatuliwa u-single wako humu na single mwenzako aliyehumu, comment sifa zako na sifa za umtakaye kisha mnaovutiana mtapeana contacts zenu PM.
Nikianza na mimi ni ME, nipo single toka nalia ng'aa. Nafurahia u-single wangu mpaka nitakapo taraji kuoa. Nipo single kwa sababu za kiimani. (muislamu).
Ila endapo nikipata mchumba sitafanya naye tendo la ndoa hadi nioe. Na namuomba Mungu anipe yule ambaye na yeye bado. Na najua kibinadamu ni vigumu ila kwa Mungu yote yanawezekana.
Kuna changamoto gani unaipata ya kuwa single, na kwanini upo single hadi muda huu? Tujulishane hapa.
Kama wewe unahitaji kutatuliwa u-single wako humu na single mwenzako aliyehumu, comment sifa zako na sifa za umtakaye kisha mnaovutiana mtapeana contacts zenu PM.
Nikianza na mimi ni ME, nipo single toka nalia ng'aa. Nafurahia u-single wangu mpaka nitakapo taraji kuoa. Nipo single kwa sababu za kiimani. (muislamu).
Ila endapo nikipata mchumba sitafanya naye tendo la ndoa hadi nioe. Na namuomba Mungu anipe yule ambaye na yeye bado. Na najua kibinadamu ni vigumu ila kwa Mungu yote yanawezekana.