Huyo ni limbukeni mwanamme mtaalam atahakikisha anawahandle wote mpaka atakapoona nani anamfaa ndo anatema mmoja,
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
Hapa sina cha kuchangia kwani katika xperience yangu sikumbuki kama nimewahi kuachana na GF wangu hata mmoja ila ni mambo tofauti tofauti tu yanayotufanya tuwe mbali mbali na mara zote kila nikikutana na wa zamani huwa milango iko wazi kukumbushia au kuendeleza mahusiano kutegemea na wasifu wa muhusika kwa wakati huo.Kwa hiyo huwa ninaona wanaowakashifu wapenzi wao baada ya kuachana ni kama vile wanajipunguzia eneo la mawindo..
Alaah....Sikuwa najua kama ndio hivyo
Mh...!!! Mzee mzima sijui nitajiteteaje leo..?? Ngoja kwanza nilipeleke suala hili mahakamani ili iwe vigumu kulijadili...
Afadhali uje uku tuyamalize kiutu uzima....huko mahakamani utashindwa tu. Hiyo ni uhakika mia kwa mia.
mmmmmmmmmmmmhsasa dada unajuaje kama alikuwa anakutusi huko alikokuwa?
Habari zenu wana JF.
Hili jambo linanitatiza sana, nimeona leo niliweke hapa ili niweze jua na kupata pia mawazo yenu, mwanaume akipata gf mpya anamtusi yule wa zamani, tena baada ya muda anarudi kuomba samahani eti muendelee na mahusiano kama hapo awali, hv huwa mnakosa nini huko mlikokwenda na kurudi tena mlikotoka? hebu nisaidien jamani mm kwangu imekuwa hvyo, kila nikiachana na bf lazima atarudi tu kuomba samahani ili tuendelee haijalishi ni muda gani umepita.
inatakiwa usikubali tena akija arudie getini, ila bidada inatakiwa uwe na uhakika kuwa kweli alikuwa na kimwana mwingine na huyo bi mdogo ndie alisababisha utukanwe maana yawezekana jamaa alikuwa na stress ambazo kwa namna moja au nyingine alihitaji ukaribu wako then wewe unakona amenyuti ukafikiri ana kimwana mwingine.
Through uzoefu, wapenzi huwa hawaachani haaaaaata!! Ila tu hitilafu ndiyo hutokea ndiyo utakuta matusi, kashfa nk. Kama wewe unafikri kuna kuachana unadhani kwa nini huwa wanarudi? Na nadhani wakirudi huendelea kujimuvuzisha nao, si ndiyoeee! Pia fahamu kuwa kule alikokuwa pia hajaacha ila ni pause tu la muda au mtakuwa mnapangiwa ratiba tu na kote mtaendelea kuichakachua ile amri MOLA wetu inayokataza UZINZI.
WARNING: UZINZI NA UASHERATI NI HATARI KWA MAISHA YAKO YA DUNIAN NA AKHERA PIA.
:biggrin1: now thats called cheating
Habari zenu wana JF.
Hili jambo linanitatiza sana, nimeona leo niliweke hapa ili niweze jua na kupata pia mawazo yenu, mwanaume akipata gf mpya anamtusi yule wa zamani, tena baada ya muda anarudi kuomba samahani eti muendelee na mahusiano kama hapo awali, hv huwa mnakosa nini huko mlikokwenda na kurudi tena mlikotoka? hebu nisaidien jamani mm kwangu imekuwa hvyo, kila nikiachana na bf lazima atarudi tu kuomba samahani ili tuendelee haijalishi ni muda gani umepita.
Na hao ma bf wazamani wakirudi unawakubali? Chunga sana watakuletea gonjwa baya aka UKIMWI!
Hao wanakurupuka, hawakufikiri kabla ya kutenda, ukisha hamisha majeshi haupaswi kurudi nyuma, utakuwa umelamba matapishi yako mwenyewe.
Alaah kumbeee!mnapause huku mnarudi huku! nimekupata kaka yangu asante sanaa i ddnt know that.huwa sina muda wa kurudiana nao coz muda ambao wanarudi nakuwa nimeshapata muda mwingine