Wanaume Nani kawaloga.?????

Wanaume Nani kawaloga.?????

Super women 2

JF-Expert Member
Joined
Nov 16, 2016
Posts
5,164
Reaction score
6,549
Habari zenu ::

NI BAADHI YENU LAKINI.

Unakuta mwanaume ana familia yake nyumbani, na si kwamba ni kimada tu Hapana ( ni MKE WAKE WA NDOA KABISA)
Lakini unakuta mwanamke wake hana kazi,
labda aliacha kazi baada ya majukumu ya familia..
Lakini baada ya majukumu Kuisha na kuhangaika kuomba kazi na kukosa,
Inabidi sasa aombe mtaji kwa mumewe.lakini mwanaume huyo atamwambia Sina hela.

Na mwanaume huyohuyo yupo radhi amfungulie kimada biashara, Na kumwacha mkewe awe goli kipa,

Bila kujua ipo siku familia itahitaji Msaada. Na wewe kama baba utakuwa haupo. Kama ungemwezesha mke wako kibiashara.,
familia isingetetereka.
Badilikeni jamani,,, vimada wanakupenda wewe pindi uwapo na hela tu. Ukiishiwa nae anakata mawasiliano na wewe.
Lakini mke wako atakuwa nawe kwa Hali yoyote ile... .
 
Ukiona hivyo, ujue huyo jamaa ashamsoma tabia mke wake na sasa
anaogopa anaweza akapata kipato kikubwa mbeleni, halafu akaanza dharau ndani ya nyumba..

maana nyie hata hamnaga maana muda mwingine
 
Habari zenu ::

NI BAADHI YENU LAKINI.

Unakuta mwanaume ana familia yake nyumbani, na si kwamba ni kimada tu Hapana ( ni MKE WAKE WA NDOA KABISA)
Lakini unakuta mwanamke wake hana kazi,
labda aliacha kazi baada ya majukumu ya familia..
Lakini baada ya majukumu Kuisha na kuhangaika kuomba kazi na kukosa,
Inabidi sasa aombe mtaji kwa mumewe.lakini mwanaume huyo atamwambia Sina hela.

Na mwanaume huyohuyo yupo radhi amfungulie kimada biashara, Na kumwacha mkewe awe goli kipa,

Bila kujua ipo siku familia itahitaji Msaada. Na wewe kama baba utakuwa haupo. Kama ungemwezesha mke wako kibiashara.,
familia isingetetereka.
Badilikeni jamani,,, vimada wanakupenda wewe pindi uwapo na hela tu. Ukiishiwa nae anakata mawasiliano na wewe.
Lakini mke wako atakuwa nawe kwa Hali yoyote ile... .
Pole sana kama umekutana na hiyo kadhia.
 
Ukiona hivyo, ujue huyo jamaa ashamsoma tabia mke wake na sasa
anaogopa anaweza akapata kipato kikubwa mbeleni, halafu akaanza dharau ndani ya nyumba..

maana nyie hata hamnaga maana muda mwingine

Umesema kweli daima
 
ushawahi kusikia/kuona wapi..mwanamke timamu akampa/kumtunuku papuchi yake mwendawazimu wa kiume mpaka apate mimba.....

lakini sio jambo la kushangaa kuona/kusikia mwendawazimu wa kike akiwa mjamzito...na waliompatia mimba hiyo ni ME timamu kabisa...hapo ndipo utatujua sisi ni wa aina gani...???..

AKILI ZETU TUNAZIJUA WENYEWE... ....
 
Nikweli ipo hivyo lkn umeangalia na upande wapili? Mana nimegundua kitu kimoja mwanamke akiwa kimada anaheshima sana kuliko Ukisha muoa anakuwa nadhalau kwakua ameshapata ndoa
 
Ukiona hivyo, ujue huyo jamaa ashamsoma tabia mke wake na sasa
anaogopa anaweza akapata kipato kikubwa mbeleni, halafu akaanza dharau ndani ya nyumba..

maana nyie hata hamnaga maana muda mwingine
Haya mambo hapo pote pore hata nyie wanaume hamnaga maana wakati mwingine
Wakati wa dhiki mnakuwaga wapole na wanyenyekevu sana kwa wake zenu, pindi mkijaaliwa mnasahau yote mnatafuta wa vimada wakutumia nao
 
Tumerogwa na kimada ambaye ni mwanamke kama wewe. Sasa tuseme tumerogwa na wanawake.
 
Back
Top Bottom