Wanaume na ndoa za dada zetu

mito

JF-Expert Member
Jun 20, 2011
10,513
10,404
Jamani msinishangae kwa ninachotaka kusema!!!!

Eti wakaka wenzangu, hasa mliooa na kuwa na mdada/wadada walioolewa, Je, ktka maisha yako ulishawahi kupata hasira kutokana na jinsi shemeji yako anavyom-treat vibaya dada yako hadi ukafikia kuwaza visivyowezekana? Kwa mfano, mimi kuna wakati nashikwaga na hasira nikifikiria jinsi ninavyompenda mke wangu, ninavyomheshimu, ninavyomjali, ninavyomtunza halafu kumbe shemeji yangu hafanyi hivyo kwa dada yangu, yaani mpaka kuna wakati naendaga kwenye extreme, eti unakuta nawaza, si bora ingekuwa inawezekana kumuoa dada yangu ili aweze kuishi kwa raha kama ninavyom-treat vizuri huyu mke wangu? you know such kind of feeling!

Hebu jamani wakaka nipeni uzoefu wetu kama mlisha-experience hii situation, usikute mwenzio nina pepo nahitaji maombezi ila mwenyewe tu sijielewi, ahaaaaa! Wadada pia karibuni kwa mchango pengine umesikia, umesoma, umeshuhudia somewhere etc
 
Sijui bwana, ila kitu positive nilicholearn unampenda mkeo; na inakuuma dadiyo anavyotreatiwa vibaya.

Nilipokuwa mdogo, uncle zangu walimpa mama nyumba na miradi ili atoke kwenye ndoa. Good for us (children) alistick kwenye ndoa, maana l couldn't imagine living with mama wa kambo.

So if you can, help her become independent na kama anaweza kuondoka na watoto then bora atoke!
 
Jamani poleni watenda na watendwa, but ni vibaya kumuwazia kaka/dada yako kivingine kabisaaaa,pepo hilo kemea, na hakuna haja ya kuishi pamoja na kaka au dada yako pia unaweza msaidia akiwa kwake
 
unchowaza sio pepo bali ni mawazo ya huruma zidi ya wanawake hapa duniani wito wangu kwako sio kumuoa dada yako bali jambo la msingi kuwa nae pamoja dada yako mfanyie kitu kitakacho msaidia ktk maisha yake ili aweze kusimama mwenyewe huku akiendelea na maisha yake ya ndoa.
 
Mimi mwenyewe nina mpango wa kuishi na kaka yangu, baada ya kutendwa na wifi!
Heheheee Kaunga bhana lol
Kuishi na kaka yako kama wanandoa au kama ndugu?
Kaka hawezi kufanana na mume hata siku moja
 
Last edited by a moderator:
Sijui bwana, ila kitu positive nilicholearn unampenda mkeo; na inakuuma mkeo anavyotreatiwa vibaya.

Nilipokuwa mdogo, uncle zangu walimpa mama nyumba na miradi ili atoke kwenye ndoa. Good for us (children) alistick kwenye ndoa, maana l couldn't imagine living with mama wa kambo.

So if you can, help her become independent na kama anaweza kuondoka na watoto then bora atoke!

Hapo kwa red humaanishi dada kweli? au nimesoma haraka haraka!
 
unchowaza sio pepo bali ni mawazo ya huruma zidi ya wanawake hapa duniani wito wangu kwako sio kumuoa dada yako bali jambo la msingi kuwa nae pamoja dada yako mfanyie kitu kitakacho msaidia ktk maisha yake ili aweze kusimama mwenyewe huku akiendelea na maisha yake ya ndoa.

Umenifariji hapo kwa redi kapistrano
 
Jamani si ana dudu nami nina kishimo!
Teh ila ni sawa sema mwanzo mgumu ila mkijichetua mnapiga match kama mara mbili then mnaanza maujuzi na kuwa free lol Kaunga ngoma mkiwaata watoto sijui watawaitaje?
Baba/Mjomba/Shangaz au Mama?
 
Last edited by a moderator:
Umenifariji hapo kwa redi kapistrano

Kwetu sisi (wanyamwezi) tunasema kaka ni mume wa milele; so it is normal kuangalia welfare ya dada yako, unless ungekuwa unawaka tamaa kila umuonapo. Usiogope si mapepo wala nini!
 
Teh ila ni sawa sema mwanzo mgumu ila mkijichetua mnapiga match kama mara mbili then mnaanza maujuzi na kuwa free lol Kaunga ngoma mkiwaata watoto sijui watawaitaje?
Baba/Mjomba/Shangaz au Mama?

Yaani kwa watoto tunakuwa everything to them. LOL

Aibu itoke wapi wakati tumekuwa pamoja n we were best friends. LOL
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom