Vumbi la congo
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 666
- 983
Unakuta umeingia na mrembo ndani bila kumpanga kama unataka penzi matokeo yake unamshikashika alafu askari kichwa anasimama..mtoto wa watu anakuambia hayupo tayari kusex.. unaanza kujifanya unaweka sura ya huruma huku unajifanya unaumia kutokana na mashine kusimama..tena mpaka machoz yanakulenga eti maumivu yamezidi dushe linauma..maskini madada kwakua hawajui anajikuta anakupa ili usiendelee kuumia..anajikuta analiwa wakati ni wizi mtupu,,😂😂😂