miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,104
Pole usiku huu ni majanga gani yamekusibu? Huyo aliyekuapproach kwa sms alikuwa na UH++ tu
siyo wewe kweli kwa sababu hujui kutongoza
Pole usiku huu ni majanga gani yamekusibu? Huyo aliyekuapproach kwa sms alikuwa na UH++ tu
Najua hamu yako ya kutaka nitende zambi. Ushindwe na ulegee mpaka lita 5. Kabla umebugisiyo wewe kweli kwa sababu hujui kutongoza
Nilitaka kushangaa nikukose huku We Bazazi Mkubwa kumbe wewe ndo unatuharibia dadazetu humu ze JF???
Kaka umenichekesha sana. Unatisha kama radi. Unamshauri mtoto wa watu atest sumu kwa kuionja?
Join Date : 8th March 2008
Location : Psychiatric Ward
Posts : 28,616
Rep Power : 2048558
Likes Received
17572
Likes Given
24155
We forgive you babu!!!
loh bora umesema mjirekebishe kabisa
Mimi nimekuwa mpare nashiba picha ys samaki...wewe unamatatizo nyambafffffHahahah kudadadadeki tena wewe unatongoza mpaka avatar. Tunakustahi tu bazazi wahedi.
mambo!!
Najua hamu yako ya kutaka nitende zambi. Ushindwe na ulegee mpaka lita 5. Kabla umebugi
nenda na wakati wewe, hayo ni mambo ya zamani ya kuviziana,
hahahaaaa!!poleni sana mna shughulihahaha sasa unajua udomo zege nao unachangiwa na nyie warembo....bila upenez basi mwanaume sii lolote. na ukweli bidada ni kwamba wanaume tusipokuwa na shilingi confidence sifuri lol
sikuweziKutenda dhambi hata kuifikiria ni dhambi.