Wanaume msifanye hivi

Tatizo kuna mda mwanamke anakuwa anamdomo, anaropoka mbele ya watu utaacha kumgombeza au kumkaripia??

me mwanamke akinijibu hovyoo mbele za watu ntamkata hayoo maskio. tukiwa chumbani ajibu atakavyo ata atukane sawa tu.
Hahahahhaha
 
Kwa wazazi wetu mnasema
"Mwanaume ataacha wazazi wake na kuambatana na mkewe"ila wazazi wenu ndio tuwakumbuke na kuwatembelea.
Ujinga tu.
Kwani Mimi wazazi wangu hawakumletea yeye mtu wa maana duniani!?
 
Kwa wazazi wetu mnasema
"Mwanaume ataacha wazazi wake na kuambatana na mkewe"ila wazazi wenu ndio tuwakumbuke na kuwatembelea.
Ujinga tu.
Kwani Mimi wazazi wangu hawakumletea yeye mtu wa maana duniani!?
Mkambiwa ukweli hamtaki kukubali....wanaume waheshimu wenzi wenu ndio maana kichwa cha habari kinasema "wanaume" na sio "wanawake" acheni kupenda mashindano na ligi hizo. Wanaume msifanye hivyo
 
Ni bora kupendana tu.. upendo ule ulio na nguvu kuliko mauti. upendo unasitiri wingi wa dhambi...!!!
 
Mwanaume mwenzangu inawezekana neno UPENDO hukulisoma vzur ktk bible.. Hebu pitia hapa..

1 Wakorintho 13:4-8

4 Upendo huvumilia, hufadhili; upendo hauhusudu; upendo hautakabari; haujivuni;
5 haukosi kuwa na adabu; hautafuti mambo yake; hauoni uchungu; hauhesabu mabaya;
6 haufurahii udhalimu, bali hufurahi pamoja na kweli;
7 huvumilia yote; huamini yote; hutumaini yote; hustahimili yote.
8 Upendo haupungui neno wakati wo wote; bali ukiwapo unabii utabatilika; zikiwapo lugha, zitakoma; yakiwapo maarifa, yatabatilika.


Hapo mstari wa 5 maneno ya mwanzo kabisa... Au tuliambiwa tuwape upendo upi.. Nieleweshe ndg yangu huenda nami nikawa nakosea.
 
Kwenye avatar ni wew kiongozi?
 
mwanamke tumeumbiwa wanaume.........anaeanzaga kutoa ya ndani siku zote ni mwanamke.....bisha au kataa uwezavyo.....wanaume hatuongei sana ila tunatekeleza......na najua wapi pa kukamilisha utekelezaji......acha siasa
 
kama amenitia aibu mbele za watu ni makofi hapo hapo hakuna cha sijui nikamwambie pembeni
 
Tatizo kuna mda mwanamke anakuwa anamdomo, anaropoka mbele ya watu utaacha kumgombeza au kumkaripia??

me mwanamke akinijibu hovyoo mbele za watu ntamkata hayoo maskio. tukiwa chumbani ajibu atakavyo ata atukane sawa tu.
ni kumalizana nae hapo hapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…