Black Coffee
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 1,929
- 3,171
Sindo nyie mnaojifanya hamna hela,,mwanaume fanya kazi mambo ya sina hela tupa kule,,,,ili usiwe dume surualeNihakikishie tu hilo neno sijaitwa mimi maana hapa nimefura naenda kula mori.
Sindo nyie mnaojifanya hamna hela,,mwanaume fanya kazi mambo ya sina hela tupa kule,,,,ili usiwe dume surualeNihakikishie tu hilo neno sijaitwa mimi maana hapa nimefura naenda kula mori.
Na huwa napata na hasira juu utadhan ni lazima kupewa hizo pesaUmeonaee
Yaani huwa naona ka nanyimwa vilee
Ila mimi kuondoa kutokuaminika naamuaga kukopa tu
Wapo watu wabahili na kuna mtu asiye nazo.Sindo nyie mnaojifanya hamna hela,,mwanaume fanya kazi mambo ya sina hela tupa kule,,,,ili usiwe dume suruale
Tuliza mori bhasi kijana wangu!!Wapo watu wabahili na kuna mtu asiye nazo.
Hawa ni watu wawili tofauti. Kutokuwa na pesa sio uanaume suruali wapo watu wanazisaka wanapata kidogo je utamuita mwanaume suruali.
Duniani viwango vya maisha vinatofautina na itaendlea kuwa hivyo hadi siku wewe au mimi tunaondoka duniani
HahahaNa huwa napata na hasira juu utadhan ni lazima kupewa hizo pesa
Namchukia mwanaume anayeniambia hana hela nachukia sana
SaaafiNaona watu wanajikanyaga sana kwenye huu uzi hawataki kusema ukweli,unakuta mtu hela kwa mzazi anampa kimachale sana lakini kwenye huu uzi ana comment as if huwa ana wapa wazazi hela mara kwa mara.
Hili swala ni Tatizo kwa takribani 90% ya wanaume wote na ukweli lazima usemwe,hii ni NATURE ambayo imetokana na maandiko yanayosema utamwacha Baba na mama yako na utaenda kuanzisha familia yako,ndio maana inatambulika duniani kote Wazazi wako sio sehemu ya familia yako
Hahaha
Mie bora uniambie utanipa kesho kuliko kuniambia eti sina.... Naweza lia kabisaa
Ndo hivyo mama.
Hii situation huwa siipendiii ila kama ninayo akiba lazma nikulipie hilo deni, sipendi kumuona mwenzangu anafedheheshwaHadi aone mtu anakuja kukudai
SawaNdo hivyo mama.
Ameeen
Hela inanafasi yake jamani na wazitafute tuu kwa bidii ili tupate kutuliza mioyo yetu, haijalishi mwanamke unakipato au huna ila hela ya mume au mpenzi inaraha yake banah
Huwajui ndugu zangu Mkuu then haujui the way walinitreat na wanavyonitreat honestly natamani nisingekua na ndugu baki zaidi ya wale tuliozaliwa tumbo mojaHiyo roho ya kishetani itakuua mapema sana.
Jitahidi uiache haraka iwezekanavyo
Ila kwa watoto wa kike huwa kinyume chake, wengi hujitoa kuwasaidia wazaz wao tofauti na watoto wa kiume.Naona watu wanajikanyaga sana kwenye huu uzi hawataki kusema ukweli,unakuta mtu hela kwa mzazi anampa kimachale sana lakini kwenye huu uzi ana comment as if huwa ana wapa wazazi hela mara kwa mara.
Hili swala ni Tatizo kwa takribani 90% ya wanaume wote na ukweli lazima usemwe,hii ni NATURE ambayo imetokana na maandiko yanayosema utamwacha Baba na mama yako na utaenda kuanzisha familia yako,ndio maana inatambulika duniani kote Wazazi wako sio sehemu ya familia yako
Maandiko yanasema tuwapende wanaotutendea mabaya mkuuHuwajui ndugu zangu Mkuu then haujui the way walinitreat na wanavyonitreat honestly natamani nisingekua na ndugu baki zaidi ya wale tuliozaliwa tumbo moja
Afu ujue hata wewe naweza nikakupenda na kukuheshimu kuliko ndugu zangu I hate all bunch of them
Tatizo sina viumbe, nina kiumbe wangu mmoja nishamchagua na nimeamua kutulia kwake.
Na yeye anajielewa, tumeshibana.
Yeye mtoto wa Trust Fund, mimi mtoto wa Trust Fund,mtoto hata ukimuachiakadi hawezi kupapalika kwa sababu ni vitu ambavyo si vigeni.
Hana makuu mtoto wa watu kafundwa tangu mtoto na baba yake mwenyewe Profesa wa Chuo Kikuu anayejua adabu za ustaarabu wote.
Tatizolikowapi?
Ninachoota nini sasa wakati hayo maisha yangu na nayaona ya kawaida kabisa?Endelea kuota tu,utamka siku moja,
Ninachoota nini sasa wakati hayo maisha yangu na nayaona ya kawaida kabisa?
Au hupendi ninavyoishi?
Tatizo wewe unapoona kuogelea Chumbe ajabu, wengine wanapiga hesabu za kuzama Mariana Trench.No sipend unavodaydream na fatansy,..maisha sio kuota,life is treak,and overly complicated,