BIGstallion
JF-Expert Member
- Sep 13, 2016
- 6,323
- 7,895
Wanawake ni wabinafsi ina nature
Sawa mzee,ahsante
Wanawake ni wabinafsi ina nature
Duuuuh hatar sanaAisee hebu tuangalie kwa undani wale tunawaita ndugu zetu maana ujue Kuna mtu hata Hua hamuwasiliani then anakutafuta na kukueleza shida
Afu ukiangalia Kuna baadhi ya ndugu ambao zamani walikunyanyasa kwahiyo Hao hata kwenye simu Hua hatuwasevu majina Yao
Kuna ndugu wanaboa Sana kiasi kwamba unaona ni bora kua independent tu na kufa kivyako
Namshukuru mungu sijawahi muomba ndugu yeyote msaada zaidi ya wazazi wangu wawili tu
Nawachukia ndugu kupita kiasi hata Mwanamke nitakae muoa hatakua na akiona ndugu wa hovyo hovyo wakija kwangu zaidi ya wale niliozaliwa nao tumbo moja tu Tena washua vibaya mno
NAWACHUKIA NDUGU ZANGU
HahahahaMimi mwenyewe huwa siamin cjui kwanini
MhWanaume hawafanyi hivyo. Hao unaozungumzia ni wavulana.
Mwanamme wa shoka anamuachia mwanamke kadi mwanamke atumie pesa mpaka aone aibu mwenyewe kuzidisha matumizi.
Sharti tu huyomwanamke asiwe mwanamke yeyote, awe maalum.
Kwa style hii mwanamme hawezi kuambiwa "sina pesa".
Sanasana ataangalia bank statement tu kuhakikisha balance badoinanona.
Ndivyo ninavyofanya babakokwa Bi. Zuhra mamako.
Umesikia mwanagu?
Ulivyonitajia mwaka wako wa kuzaliwa nikaku adot tu uwe mwanangu wa JF.
Alhamdullilah.Maashaallah
Ila mimi kuondoa kutokuaminika naamuaga kukopa tuMimi mwenyewe huwa siamin cjui kwanini
HahaHadi aone mtu anakuja kukudai
Ila mimi kuondoa kutokuaminika naamuaga kukopa tu
Tatizo sina viumbe, nina kiumbe wangu mmoja nishamchagua na nimeamua kutulia kwake.We kuna kitu unatachotafuta kwa ao viumbe utakipata,endelea kusikiliza ujinga wao uo,...wenzako awajui kesho mpaka ifike,..
Nyie nitawagawa. Na sisi huwa tunaishiwa eti mtu unakuta hata 2100 ya lt 1 ya mafuta sina
Nimekuskia ba Zuhura.Mwanamme wa shoka anamuachia mwanamke kadi mwanamke atumie pesa mpaka aone aibu mwenyewe kuzidisha matumizi.
Sharti tu huyomwanamke asiwe mwanamke yeyote, awe maalum.
Kwa style hii mwanamme hawezi kuambiwa "sina pesa".
Sanasana ataangalia bank statement tu kuhakikisha balance badoinanona.
Ndivyo ninavyofanya babakokwa Bi. Zuhra mamako.
Umesikia mwanagu?
Ulivyonitajia mwaka wako wa kuzaliwa nikaku adot tu uwe mwanangu wa JF.
Maneno kuntuNyie nitawagawa. Na sisi huwa tunaishiwa eti mtu unakuta hata 2100 ya lt 1 ya mafuta sina
Nimeona kwa kweli unawapa somo vijana wa skuiz wajiitao dume suruali
Santenzuri na nimeipenda.
Kanuni yangu ya mafuta ni kwamba ukijaza mda wote unajaza full tank.Nyie nitawagawa. Na sisi huwa tunaishiwa eti mtu unakuta hata 2100 ya lt 1 ya mafuta sina