Niliacha pombe. Sidhani Kama kuachwa pombe, kuchepuka, kuhonga Ni vitu vibaya.
Ifike mahali hata wewe ujiulize kwanini unachepuka? Je kifo kikikukuta uko gesti na mchepuko, utaacha legacy gani? Na huko roho yako iendako itakuwaje.
Nilicho jifunza. Ukijiheshimu k ya waif inatosha Sana.