Amesema zaidi ya 10 hivyo uenda hiyo zaidi inaenda mbali ya mikoa ya Tanzania uliyosema! Mwalimu kama ni hivi, hiyo tuisheni yako siyo matango pori kweli?!!Tanzania bara inazaidi ya hiyo mikoa kwahiyo shukuru hao kumi ni wachache
Wote tuko ivyo so mbadilishe wakwako tabia na uendelee nae maana hata ukiachana nae popote utakapoenda utakuta hayohayo kikubwa akuheshim halaf KOMA KUPEKUA SM ZA MWANAUME
Sasa tangu lini MALAYA akafurahia jambo hilo?Yaani ni hivi, huyu mwanamme niliyemwamini na kumpenda sana, kumbe ni Shetani.
Nimegundua ana wanawake wengine zaidi ya 10 mikoa tofauti, baadhi yao nimeongea nao na kujiridhisha. Ila cha ajabu bado anakataa hawajui.
Mbona kuna watu wanafurahia mapenzi kwa nini mimi nateseka?
Nimeamua kumwacha ila naumia sana jamani.
Ama kweli dunia haina usawa
Sent using Jamii Forums mobile app
usichokijua ni kuwa mwanaume ni kama jogoo tu, huwa ana tetea moja ambalo kila mahali yuko nalo ila likikatiza tetea jingine tu mbele yake basi haachi kulipanda na tetea lake la kudumu halimind maana linaijua nafasi yake.Yaani ni hivi, huyu mwanamme niliyemwamini na kumpenda sana, kumbe ni Shetani.
Nimegundua ana wanawake wengine zaidi ya 10 mikoa tofauti, baadhi yao nimeongea nao na kujiridhisha. Ila cha ajabu bado anakataa hawajui.
Mbona kuna watu wanafurahia mapenzi kwa nini mimi nateseka?
Nimeamua kumwacha ila naumia sana jamani.
Ama kweli dunia haina usawa
Sent using Jamii Forums mobile app
Yeye anao 10 zaidi yako,wewe unao wangapi zaidi yake?Yaani ni hivi, huyu mwanamme niliyemwamini na kumpenda sana, kumbe ni Shetani.
Nimegundua ana wanawake wengine zaidi ya 10 mikoa tofauti, baadhi yao nimeongea nao na kujiridhisha. Ila cha ajabu bado anakataa hawajui.
Mbona kuna watu wanafurahia mapenzi kwa nini mimi nateseka?
Nimeamua kumwacha ila naumia sana jamani.
Ama kweli dunia haina usawa
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole zako, jichunguze wenda kiburi na kutomjali sisi ni wasiri mno tusipopendezwa na kitu huwa tunajitahidi kunyoosha bila kusema tukiona hubadiriki tunasema bila taarifa.
Pole zako, jichunguze wenda kiburi na kutomjali sisi ni wasiri mno tusipopendezwa na kitu huwa tunajitahidi kunyoosha bila kusema tukiona hubadiriki tunasema bila taarifa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukishajua maana ya mwanaume ndio utaelewa ulilofanya ni utoto.
Sasa unamuacha mwanaume ambaye hujamfumania ana kwa ana na mwanamke.
99% Wanaume wapo hivyo.
1% Hawa ni wagonjwa, Marehemu, Mashoga ndio hawana makando kando
usichokijua ni kuwa mwanaume ni kama jogoo tu, huwa ana tetea moja ambalo kila mahali yuko nalo ila likikatiza tetea jingine tu mbele yake basi haachi kulipanda na tetea lake la kudumu halimind maana linaijua nafasi yake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa tangu lini MALAYA akafurahia jambo hilo?
You deserved.
Mtu hajakuoa Unachoropoa LICHUPI lako anakuzini kisha unakuja kulalama hapa.
ShetaniUnaonaje ukatuwekea picha yake hapa tumuone huenda akawa baharia,
Pole Sana.
Yaani ni hivi, huyu mwanamme niliyemwamini na kumpenda sana, kumbe ni Shetani.
Nimegundua ana wanawake wengine zaidi ya 10 mikoa tofauti, baadhi yao nimeongea nao na kujiridhisha. Ila cha ajabu bado anakataa hawajui.
Mbona kuna watu wanafurahia mapenzi kwa nini mimi nateseka?
Nimeamua kumwacha ila naumia sana jamani.
Ama kweli dunia haina usawa
Sent using Jamii Forums mobile app
Tena huyo anakuheshimu saana,,maana wengine wachakachua majirani na wa mtaani kwako kwa hiyo komaa nae
Sent using Jamii Forums mobile app