Wanaume mnatafutaga nini?

Sisi wenyewe hatujui...tusaidiane.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
nipe namba yako mrembo hakika sitakuwa na mwingine zaidi yako
 
Dunia haipo fair mamy, ukiwa mwema unapata gumegume au kurubembe, Amini katika kuomba Mungu ya kwamba kuna mtu special kwa ajili yako ambaye ni saizi yako na utaenjoy mapenzi yake, alafu usipende kucomplicate vitu sana utaumia
 
Ahsante sana
Dunia haipo fair mamy, ukiwa mwema unapata gumegume au kurubembe, Amini katika kuomba Mungu ya kwamba kuna mtu special kwa ajili yako ambaye ni saizi yako na utaenjoy mapenzi yake, alafu usipende kucomplicate vitu sana utaumia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…