Wanaume mnatafutaga nini?

Wanaume mnatafutaga nini?

Gyole

JF-Expert Member
Joined
Sep 20, 2013
Posts
7,008
Reaction score
7,091
Yaani ni hivi, huyu mwanamme niliyemwamini na kumpenda sana, kumbe ni Shetani.
Nimegundua ana wanawake wengine zaidi ya 10 mikoa tofauti, baadhi yao nimeongea nao na kujiridhisha. Ila cha ajabu bado anakataa hawajui.
Mbona kuna watu wanafurahia mapenzi kwa nini mimi nateseka?
Nimeamua kumwacha ila naumia sana jamani.
Ama kweli dunia haina usawa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani ni hivi, huyu mwanamme niliyemwamini na kumpenda sana, kumbe ni Shetani.
Nimegundua ana wanawake wengine zaidi ya 10 mikoa tofauti, baadhi yao nimeongea nao na kujiridhisha. Ila cha ajabu bado anakataa hawajui.
Mbona kuna watu wanafurahia mapenzi kwa nini mimi nateseka?
Nimeamua kumwacha ila naumia sana jamani.
Ama kweli dunia haina usawa

Sent using Jamii Forums mobile app
POLE SANA KWA KUMPENDA SHETANI, MAY BE MTAFUTE MALAIKA ATAKUFAA

SIKU ZOTE DUNIA HAIKO FAIR...MKIAMBIWAGA MSIPENDE MAZIMA MAZIMA NYIE MNAKUWA WABISHI
 
Yaani ni hivi, huyu mwanamme niliyemwamini na kumpenda sana, kumbe ni Shetani.
Nimegundua ana wanawake wengine zaidi ya 10 mikoa tofauti, baadhi yao nimeongea nao na kujiridhisha. Ila cha ajabu bado anakataa hawajui.
Mbona kuna watu wanafurahia mapenzi kwa nini mimi nateseka?
Nimeamua kumwacha ila naumia sana jamani.
Ama kweli dunia haina usawa

Sent using Jamii Forums mobile app
Njoo kwangu milango iko wazi
 
Yaani ni hivi, huyu mwanamme niliyemwamini na kumpenda sana, kumbe ni Shetani.
Nimegundua ana wanawake wengine zaidi ya 10 mikoa tofauti, baadhi yao nimeongea nao na kujiridhisha. Ila cha ajabu bado anakataa hawajui.
Mbona kuna watu wanafurahia mapenzi kwa nini mimi nateseka?
Nimeamua kumwacha ila naumia sana jamani.
Ama kweli dunia haina usawa

Sent using Jamii Forums mobile app
Shetani ni huyo wa kwako usitumie udhaifu wake ku justify ...mbona mikoa yote Tanzania ina wakuu wa mikoa na wilaya ila mama Janeth hajawahi kumwonea wivu mzee Jiwe ama unadhani alishindwa kuisimamia mikoa hiyo peke yake!
 
Hata hivyo nimesema wa kwangu ndio Shetani mkuu, mbona umepanic
Shetani ni huyo wa kwako usitumie udhaifu wake ku justify ...mbona mikoa yote Tanzania ina wakuu wa mikoa na wilaya ila mama Janeth hajawahi kumwonea wivu mzee Jiwe ama unadhani alishindwa kuisimamia mikoa hiyo peke yake!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom