kritika
JF-Expert Member
- Apr 18, 2018
- 410
- 1,158
Wanaume siku hizi mmekua mbugila sana,mmekua na uwezo mdogo sana wakuchakata na kupembua mambo kwenye bongo zenu,uwezo wakufikiri kwa wanaume wa africa umepungua sana.
Mwanaume unashindwa kuhandle mambo madogo madogo ya familia yako,au ya girlfrnd wako kosa kidogo tu unakimbilia kwenye mitandao kuomba msaada, hivi mnajielewa kweli ninyi???
Yani mwanaume umening'iniza kende tu huna la ziada unanyimwa unyumba tu ushakimbilia kwenye magrp ya wsp kuomba msaada. Ishu ndogo kama hiyo unashindwa kuimaliza kiume??
Sisi wanawake umbea ni asili yetu hata tukiongea huko kwa mashoga zetu ni kawaida tu,acheni kuiga umbea kutoka kwetu sio lazima tuwe sawa kwenye mambo yote.....mxieeeeeeeeeeeew
Nice wkend
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanaume unashindwa kuhandle mambo madogo madogo ya familia yako,au ya girlfrnd wako kosa kidogo tu unakimbilia kwenye mitandao kuomba msaada, hivi mnajielewa kweli ninyi???
Yani mwanaume umening'iniza kende tu huna la ziada unanyimwa unyumba tu ushakimbilia kwenye magrp ya wsp kuomba msaada. Ishu ndogo kama hiyo unashindwa kuimaliza kiume??
Sisi wanawake umbea ni asili yetu hata tukiongea huko kwa mashoga zetu ni kawaida tu,acheni kuiga umbea kutoka kwetu sio lazima tuwe sawa kwenye mambo yote.....mxieeeeeeeeeeeew
Nice wkend
Sent using Jamii Forums mobile app

