Tangu dunia ya Adam hadi hii ya Putin watu wanakulana na uzinzi hufanywa kila sekunde na mvua hunyesha, na wakati mwingine hugoma tu.Ndio maana mvua zimegoma kunyesha kipindi hiki cha masika.
Huu ujumbe ni kama umetulenga akina sisi😀Unaenda kikazi au kibiashara unafika mji mpya mfano Dodoma unapanga chumba halafu unaenda reception unaomba utafutiwe mwanamke wakulala nawewe hujui kama ni jambazi, muuaji au anamagonjwa wewe unachakata papuchi tu.
Ukiamka asubuhi unajikuta huna hata mizigo uliokuja nayo kaiba kila kitu .
Au unakutwa umekufa ulikuwa umesomewa ramani tokea stendi. Unakufa kiboya kisa starehe za muda mfupi.
unatolewa kwenye taarifa za habari umezima , ukiwa na taulo la gesti shida inakuwaga nini eti?? Hamuwezi kula baada ya kutoka safari.
Unakuta wengine wachawi wanakula hadi allowance ya uliyopewa ofisini unaanza kukopa , au mtaji wa kitu kilichokuleta hebu acheni ujinga . Acheni.
Kingine unakuta kakupa UTI, gono ,kaswende , au busha zinavimba au unaotwa malenge lenge , jingine ukute umeambukizwa ukimwi sasa shida yote yanini????.
Eti ?????
Sema tu unamke mzuri anaheshima anajipenda na hana kasoro kakuzalia ila umekuwa keroo tu mnaboa aisee .
Tulieni basi hata muweze kulea mliowaleta duniani ndio maana mnatekwa mnakutwa mmekufa kisa watoto wa watu wake.zawatu mnawachakata.
Goodevening Equation x
Ukweli mchungu, wanaume wengi hawajijali wala hawathamini afya zao wametanguliza ngono mbele sanaUnaenda kikazi au kibiashara unafika mji mpya mfano Dodoma unapanga chumba halafu unaenda reception unaomba utafutiwe mwanamke wakulala nawewe hujui kama ni jambazi, muuaji au anamagonjwa wewe unachakata papuchi tu.
Ukiamka asubuhi unajikuta huna hata mizigo uliokuja nayo kaiba kila kitu .
Au unakutwa umekufa ulikuwa umesomewa ramani tokea stendi. Unakufa kiboya kisa starehe za muda mfupi.
unatolewa kwenye taarifa za habari umezima , ukiwa na taulo la gesti shida inakuwaga nini eti?? Hamuwezi kula baada ya kutoka safari.
Unakuta wengine wachawi wanakula hadi allowance ya uliyopewa ofisini unaanza kukopa , au mtaji wa kitu kilichokuleta hebu acheni ujinga . Acheni.
Kingine unakuta kakupa UTI, gono ,kaswende , au busha zinavimba au unaotwa malenge lenge , jingine ukute umeambukizwa ukimwi sasa shida yote yanini????.
Eti ?????
Sema tu unamke mzuri anaheshima anajipenda na hana kasoro kakuzalia ila umekuwa keroo tu mnaboa aisee .
Tulieni basi hata muweze kulea mliowaleta duniani ndio maana mnatekwa mnakutwa mmekufa kisa watoto wa watu wake.zawatu mnawachakata.
Goodevening Equation x
Asante Sanaa mkuu 😊Hakuna shida yoyote maana aliyekufa akitoka kanisani ama msikitini na Aliyefia louge akichakata mbususu wote watazikwa ardhini.
Hayo magonjwa uliyosema yapo kwa ajiri ya binadamu wala sio miti na wadudu. Pia elewa ndo yanawa weka mjini magnesium na ma Dr am 4 real PhD
Wanaume huwa tunapenda bingili bingili baiyooyoo😎Hayo ndio mambo ya kiume Sasa, heka heka na mbilinge mbilinge kama hizo ndio zinatuweka sawa kichwani.
Mwanaume huwa hatuliii Hadi atulizwe na kitu kizito.
Lakini nyie wanawake Kuna umri ukifika mtulia wenyewe ila unakuta mwanaume ni kibabu lakini yumo tu, Yani humu tuuuu
Ndiyo maana mnakufa mapema😁😁😁Ask all men to mention three sweetest things we've ever tasted, the 1st choice itabakia kuwa mbususu.
Kichwa cha chini hakina macho kina mdomo, kinajua kula mambo ya magonjwa na nini yatajua yenyewe!
Makasiriko on air 😊Unaenda kikazi au kibiashara unafika mji mpya mfano Dodoma unapanga chumba halafu unaenda reception unaomba utafutiwe mwanamke wakulala nawewe hujui kama ni jambazi, muuaji au anamagonjwa wewe unachakata papuchi tu.
Ukiamka asubuhi unajikuta huna hata mizigo uliokuja nayo kaiba kila kitu .
Au unakutwa umekufa ulikuwa umesomewa ramani tokea stendi. Unakufa kiboya kisa starehe za muda mfupi.
unatolewa kwenye taarifa za habari umezima , ukiwa na taulo la gesti shida inakuwaga nini eti?? Hamuwezi kula baada ya kutoka safari.
Unakuta wengine wachawi wanakula hadi allowance ya uliyopewa ofisini unaanza kukopa , au mtaji wa kitu kilichokuleta hebu acheni ujinga . Acheni.
Kingine unakuta kakupa UTI, gono ,kaswende , au busha zinavimba au unaotwa malenge lenge , jingine ukute umeambukizwa ukimwi sasa shida yote yanini????.
Eti ?????
Sema tu unamke mzuri anaheshima anajipenda na hana kasoro kakuzalia ila umekuwa keroo tu mnaboa aisee .
Tulieni basi hata muweze kulea mliowaleta duniani ndio maana mnatekwa mnakutwa mmekufa kisa watoto wa watu wake.zawatu mnawachakata.
Goodevening Equation x
Ivo yaan 🤒Get rich or die trying,
Get mbususu or die with upwiru
hahaha tunawahi seat nyie jichelewesheni tu, afu kuna mabikra 72 😀 naskiaga wapoNdiyo maana mnakufa mapema
Aliekuambia hao wake zetu Wana time na sisi nani!!?Unaenda kikazi au kibiashara unafika mji mpya mfano Dodoma unapanga chumba halafu unaenda reception unaomba utafutiwe mwanamke wakulala nawewe hujui kama ni jambazi, muuaji au anamagonjwa wewe unachakata papuchi tu.
Ukiamka asubuhi unajikuta huna hata mizigo uliokuja nayo kaiba kila kitu .
Au unakutwa umekufa ulikuwa umesomewa ramani tokea stendi. Unakufa kiboya kisa starehe za muda mfupi.
unatolewa kwenye taarifa za habari umezima , ukiwa na taulo la gesti shida inakuwaga nini eti?? Hamuwezi kula baada ya kutoka safari.
Unakuta wengine wachawi wanakula hadi allowance ya uliyopewa ofisini unaanza kukopa , au mtaji wa kitu kilichokuleta hebu acheni ujinga . Acheni.
Kingine unakuta kakupa UTI, gono ,kaswende , au busha zinavimba au unaotwa malenge lenge , jingine ukute umeambukizwa ukimwi sasa shida yote yanini????.
Eti ?????
Sema tu unamke mzuri anaheshima anajipenda na hana kasoro kakuzalia ila umekuwa keroo tu mnaboa aisee .
Tulieni basi hata muweze kulea mliowaleta duniani ndio maana mnatekwa mnakutwa mmekufa kisa watoto wa watu wake.zawatu mnawachakata.
Goodevening Equation x
1. Ni kweli anayemtetea mwanaume ni Mungu pekeeAliekuambia hao wake zetu Wana time na sisi nani!!?
Aliekuambia hai wake zetu Wana muda kutuwaza na kufikiri namna kutufanya TU relax nani!!?
Wanajua kutafuta visa na kuomba hela plus michambo!
Mwanamke unaongea kama cherehani plus mambo ya chibi chini kama jasusi!!
Nakuambia machangudoa ndio watu pekee wenye mapenzi ya dhati Tena ya moyo mkuu kuliko hayo makombora tulioyatunza ndani muda wowote yanalipuka!!
Mwanamme analindwa na mungu TU yeye ndio wa kutuonea huruma na ssio nyinyi visirani plus mtimanyongo!!
Nawaombea Sana machangudoa coz wapo real wanatafuta pesa kuliko nyie mnaotafuta pesa na uwekezaji binafsi Kwa mgongo wa ndoa!!
Unakuta make anajenga Kwa siri huku unaishi nae ndani !huku mtoto mmoja TU kabebesha baba kama watatu Ili apate kampani ya mishe zake!!
mungu wabariki machangudoa na ma baa made na ayalaani manamake yalioolewa kumbe majasiriamali kutumia ndoa!!!
Huyo mwanamke yeye anayeingia chumbani kwa mwanaume ambae hamjui yeye anajijali mkuu?Ukweli mchungu, wanaume wengi hawajijali wala hawathamini afya zao wametanguliza ngono mbele sana
Hajijali pia lakini asilimia kubwa ni wanaume ndiyo mnasababisha hao wanawake waone ni kawaida tu kufanya hivyoHuyo mwanamke yeye anayeingia chumbani kwa mwanaume ambae hamjui yeye anajijali mkuu?