kufikisha mwanamke sio wingi wa magoli,usifananishe mapenzi na mpira ambao ili uwe mshindi ni idadi ya magoli utakayofunga bali inahitaji ufundi wa kutosha. Pia swala la kukaa home bada ya kutoka kazini ni ngumu,huwa tunaenda kubadilishana mawazo kijiweni
Una hoja za msingi na umetoa ushauri mzuri kabisa! Lakini hapo kwa wazazi Mimi nakataa kabisa na kama unaingia kwenye ndoa ukitaka kuwa zaidi ya wazazi wa mumeo basi ndoa itakushinda!
Dai haki zako lakini usithubutu kujilinganisha na wazazi wa Mumeo!