MADEMU WA KIBONGO WANAVYOPISHANAGA NA BAHATI
12:00 nakuja
13:20 ndio naoga
15:50 navaa nguo
17:40 ndio natoka
18:30 nipo kwenye bajaji
19:20 babe sitakuja Mama ameniambia niwapikie wageni wanakuja....
Halafu ikifika miaka 38 hajaolewa anaanza kuwasumbua akina Mwakasege, Gwajima, Lusekelo wakuombee upate mume
wengine huenda kwa shekhe Juma kusafisha nyota huku akisahau kuwa nyota alishaichafua kule juu,ambapo ule muda alioupoteza kule juuu wenzake walitumia chance hiyo wakaolewa
huu ni uzwange Jr