Umeona eh...mi nadhani upole wa wake zao ndio unaowapa viburi hata wanadiriki kurudi asubuhi maana wanajua watawakuta wake zao nyumbani, watafunguliwa milango na hawatagombezwa.
Pombe tunakunywa lkin hatuna mambo ya kishamba hayo aisee, mara nyingi hii iko vijijin unakuta mlevi ameibiwa mbuz anaenda kukata gogo bara baran kupungunguza hasira, hahaa hahaa.
Umeona eh...mi nadhani upole wa wake zao ndio unaowapa viburi hata wanadiriki kurudi asubuhi maana wanajua watawakuta wake zao nyumbani, watafunguliwa milango na hawatagombezwa.