Wanaume kukata mauno

Wanaume kukata mauno

Pritty wa joseph

JF-Expert Member
Joined
Jul 17, 2014
Posts
2,379
Reaction score
2,051
Oyo Oyo Oyooooooo
kiukweli jamani hii tabia sio nzur yani mwanaume uliyekamilika unasimama mbele ya kadamnasi ya watu unakata mauno ??????? yani unazungusha nyonga hata Mimi niliopelekwa unyagoni sikufikii
badilikeni kukata mauno ni kazi ya wanawake nyie muwe mnashikilia tu nyonga zetu pindi tunapozungusha ringi lol mnaboa bhana

pretty wa joseph
 
Oyo Oyo Oyooooooo
kiukweli jamani hii tabia sio nzur yani mwanaume uliyekamilika unasimama mbele ya kadamnasi ya watu unakata mauno ??????? yani unazungusha nyonga hata Mimi niliopelekwa unyagoni sikufikii
badilikeni kukata mauno ni kazi ya wanawake nyie muwe mnashikilia tu nyonga zetu pindi tunapozungusha ringi lol mnaboa bhana

pretty wa joseph

Ukowap ww
 
Oyo Oyo Oyooooooo
kiukweli jamani hii tabia sio nzur yani mwanaume uliyekamilika unasimama mbele ya kadamnasi ya watu unakata mauno ??????? yani unazungusha nyonga hata Mimi niliopelekwa unyagoni sikufikii
badilikeni kukata mauno ni kazi ya wanawake nyie muwe mnashikilia tu nyonga zetu pindi tunapozungusha ringi lol mnaboa bhana

pretty wa joseph

Hukusikia ule msemo wa kiuno msingi? Naona wanawekeza
 
Oyo Oyo Oyooooooo
kiukweli jamani hii tabia sio nzur yani mwanaume uliyekamilika unasimama mbele ya kadamnasi ya watu unakata mauno ??????? yani unazungusha nyonga hata Mimi niliopelekwa unyagoni sikufikii
badilikeni kukata mauno ni kazi ya wanawake nyie muwe mnashikilia tu nyonga zetu pindi tunapozungusha ringi lol mnaboa bhana

pretty wa joseph

-Hao wako kwenye stage ya mwisho ya kuwa mashoga/------- na wanatafuta waoaji
-Mwanaume timilifu hafanyi huo ujinga hata akiwa mwenyewe gizani.
 
Oyo Oyo Oyooooooo
kiukweli jamani hii tabia sio nzur yani mwanaume uliyekamilika unasimama mbele ya kadamnasi ya watu unakata mauno ??????? yani unazungusha nyonga hata Mimi niliopelekwa unyagoni sikufikii
badilikeni kukata mauno ni kazi ya wanawake nyie muwe mnashikilia tu nyonga zetu pindi tunapozungusha ringi lol mnaboa bhana

pretty wa joseph

Kumbe ulishaenda unyagoni??Niwatafuta san wa dizaini yako.Em'njoo pm tafadhari
 
Back
Top Bottom