Karucee
JF-Expert Member
- Mar 11, 2012
- 18,196
- 34,502
Ngalikihinja, Naona umekurupuka tu mkuu kupost comment. Pole yako. Sio kila mtu anaewaza hela katika mapenzi. Ishu ilikuwa sio hela. Issue ilikuwa jinsi gani tulivyoenjoy, na kupendana mpaka tumefikia kuoana.Uliimiss hiyo date kwa vile hukuwa na hela... Asnam na maandishi yake unamsingizia tu... Hope umeelewa
Last edited by a moderator: