Wanaume kama hawa

inategemea maana huoni kuna wengine humu ndani wanalalamika wamebigwa vizinga hadi wanataka kwenda mahakamani
 
Halafu wanadai hela nyingi ambazo baba zao kule vijijini wanakaa mpaka mwezi hawana uwezo wa kuzishika....pumbafuuuuuu! Upewe hela mtu mwenyewe umetumika yamebaki makapi tu! Nyambafuuuuuuu! Unapenda pesa wakati kwenu mkijikuna mnatoka unga wa bada! Paaaambavu!
 
Mwenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…