Duuh! Ngoja nicheck aiseee. Ahsante kwa ukumbusho si unajua tena Misikiti kuwa mbali na nyumbani basi mengi yanatupita.Leo ni 29 angalia vizuri
Kuna wanaume wengine,wana tabia mbaya sana,sio nzuri
Unakuwa nae kwenye mahusiano vizuri tu lakini umuombapo kitu labda hela kwa ajili ya matumizi,....hawezi kukupa hela inayoeleweka....,au hawezi kukuletea zawadi
Hasa kama mna mwezi hamjafanya mapenzi
Mwanaume eti anakupa hela inayoeleweka baada ya kumaliza kufanya mapenzi,au atakuletea zawadi muda huo anataka mfanye mapenzi
Ukipokea zawadi na bila kufanya...anakuwa hayupo happy
Wanaume hivi ukimaliza kufanya mapenzi....ndo unajua umuhimu wa mpenzi wako?
Kwa nini usimuhudumie mpenzi wako kwa asilimia mia hata kama hamjafanya mapenzi ndani ya mwezi mmoja?
Duuh! Ngoja nicheck aiseee. Ahsante kwa ukumbusho si unajua tena Misikiti kuwa mbali na nyumbani basi mengi yanatupita.
Wacha nicheck na kuna watu wangu wa karibu niwaulize nao.
Sawa ila kiukweli huwa siziamini tarehe za kwenye kalenda.Poa, unaweza tumia simu kucheki kalenda
Na nyie mademu wa kibongo mnatuboa sana we li demu linakutafsiri kama mfadhili badala ya kukutafsiri kama mpz.Arafu mnaudhi tabia yenu ya kujiona nyie ndo ma receiver sisi ndo ma giver.Wenzenu huko nchi za watu wenye akili timamu zawadi zinaflow direction zote huku uelekeo mmoja.Ndiyo maana si tunawapa hela baada ya kuwabanjua maana madem karibia wote include walioolewa hawana tofauti na wanaojiuza kabisa.LI DEMU LINAKUSUBIRIA ULE MUDA WA KUPIZ NDO LINAANZA KUKUOMBA VITU VYA THAMANI.Kuna wanaume wengine,wana tabia mbaya sana,sio nzuri
Unakuwa nae kwenye mahusiano vizuri tu lakini umuombapo kitu labda hela kwa ajili ya matumizi,....hawezi kukupa hela inayoeleweka....,au hawezi kukuletea zawadi
Hasa kama mna mwezi hamjafanya mapenzi
Mwanaume eti anakupa hela inayoeleweka baada ya kumaliza kufanya mapenzi,au atakuletea zawadi muda huo anataka mfanye mapenzi
Ukipokea zawadi na bila kufanya...anakuwa hayupo happy
Wanaume hivi ukimaliza kufanya mapenzi....ndo unajua umuhimu wa mpenzi wako?
Kwa nini usimuhudumie mpenzi wako kwa asilimia mia hata kama hamjafanya mapenzi ndani ya mwezi mmoja?
Tar 15 ndo unabld?Sawa ila kiukweli huwa siziamini tarehe za kwenye kalenda.
Ona kama hapo chini ndio isomavyo kwanguView attachment 777930
Mm sijaelewa eti, au una maanisha nn mama
Wacha hizo banaaaa.
Sawa ila kiukweli huwa siziamini tarehe za kwenye kalenda.
Ona kama hapo chini ndio isomavyo kwanguView attachment 777930
Sina ninachomaanisha Mangi. Pole sana.Mm sijaelewa eti, au una maanisha nn mama
Kama yangu isemavyo Mkuu. Haya ahsante kwa ukumbusho.
Kwa jibu lako inaonekana una low IQ.Wewe limwagilie vizuri utakavyo,ila ukumbuke kulipalilia ili liendelee kupendeza
Ahsante sana Mkuu. Lolpole mkuu.
Wazoee wabongo
Tatizo na nyinyi wanawake mnapenda sana free lunch.......kwakifupi hatuna imani na nyinyi ndomana tunatoa pesa siku ya game.....siku za kawaida utaambulia 5,000 au 10,000 tu......mana naweza kupa pesa nyingi kumbe na wewe unaenda kuwahonga wakina msingi kiunoKuna wanaume wengine,wana tabia mbaya sana,sio nzuri
Unakuwa nae kwenye mahusiano vizuri tu lakini umuombapo kitu labda hela kwa ajili ya matumizi,....hawezi kukupa hela inayoeleweka....,au hawezi kukuletea zawadi
Hasa kama mna mwezi hamjafanya mapenzi
Mwanaume eti anakupa hela inayoeleweka baada ya kumaliza kufanya mapenzi,au atakuletea zawadi muda huo anataka mfanye mapenzi
Ukipokea zawadi na bila kufanya...anakuwa hayupo happy
Wanaume hivi ukimaliza kufanya mapenzi....ndo unajua umuhimu wa mpenzi wako?
Kwa nini usimuhudumie mpenzi wako kwa asilimia mia hata kama hamjafanya mapenzi ndani ya mwezi mmoja?