WANAUME ISHI NA WAKE ZENU KWA AKILI

WANAUME ISHI NA WAKE ZENU KWA AKILI

Nickodem

New Member
Joined
Jun 5, 2019
Posts
2
Reaction score
1
Neno la Mungu linawafundisha wanaume kuishi kwa akili na wanawake alafu na wanawake wanatakiwa kuwatii wanaume pia mwanaume amepewa maagizo ya kumpenda mke wake@......
Wanaume wengi wa siku hizi wanaishi na wake zao kwa ubabe,kashifa na nguvu nyingi ndomana mwisho wa siku mambo yaharibika ktk mahusiano yao.
NB:Mungu alimuumbia Adam msaidizi wake Hawa,Leo wanaume wanajichukulia wasaidizi wengi(wanawake)
Ndo mana mwisho wa siku wanasaidiana kumuloga mwanaume @
 
Mungu akampatia mwaume msaidiz "Hawa" kwa kiswahili hawa ni wingi kwahiyo hapo ni sahhi kujipatia wasaidiz wengi
 
Unamaanisha hawa watumiaji wa dildo na vibomba vya maji? Au kuna wengine?
 
Back
Top Bottom